hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 51,355
- 73,193
hahaaaaHakuna kitu kibaya chini ya jua kama Mjakazi akiolewa na mfalme au mpumbavu akipata utajiri
hahaaaaHakuna kitu kibaya chini ya jua kama Mjakazi akiolewa na mfalme au mpumbavu akipata utajiri
huko mbona umekwenda mbali mnoo mkuu yaani wewe nenda kwenye car rental kisha rent anza kupiga nayo misele watoto wakike watakutolea macho ile mbaya ..wala hawatotka kujua kuwa umelikodisha o wat..!!?Mbaya zaid wanawake hata aina za magari hawazijui. Hata ukiwa na vitz utawang'oa lukuki
Amen mkuu...mi magari ndo ugonjwa wangu, mpaka wanaume marafiki zangu huwa wananishangaaWomen always don’t care about cars but you are different..
Salute!!

Yep dear...luxury ones, my fav!mh hizo ni comfort si ndio....
Gari ya chini yeyote mbaya asee, utafikiri unaburuzana na lami..Vingine vi baby Walker
Haaa haa best..mtoa mada kaingia anga zangu, so mambo nihahaa mtoa mada kakugusa

Ni kweli kabisa kuna jamaa yangu alikuwa na Toyota collora, demu wake KAJA kuchukuliwa na dereva wa manispaa alikuwa akiendesha Gari ya Mkurugenzi STK mpya, demu alijuwa Gari yake huyo jamaa. Hii Dunia ina mambo. Ndo maana wahenga wanasema mvua in kama mwanamke inanyeshea hata kwenye mavi.huko mbona umekwenda mbali mnoo mkuu yaani wewe nenda kwenye car rental kisha rent anza kupiga nayo misele watoto wakike watakutolea macho ile mbaya ..wala hawatotka kujua kuwa umelikodisha o wat..!!?
wewe hushangai madereva wanavyo wamega mpka basi na hpo magari ndio sio yao..tehh
Nina kaka yngu nidereva . .daaahha anawala kinoma kama Nyama za kisutu
Ni kweli mkuu...but sio wanawake wote! Unajua nini inategemea na hulka yako!huko mbona umekwenda mbali mnoo mkuu yaani wewe nenda kwenye car rental kisha rent anza kupiga nayo misele watoto wakike watakutolea macho ile mbaya ..wala hawatotka kujua kuwa umelikodisha o wat..!!?
wewe hushangai madereva wanavyo wamega mpka basi na hpo magari ndio sio yao..tehh
Nina kaka yngu nidereva . .daaahha anawala kinoma kama Nyama za kisutu
...kushusha kioo, daah walisambaa hao na mitusi mikubwa mikubwa juu yangu, haa haaa wanawake sisi!Uko sahihi; lakini haya mambo hayako general, inategemeana na hulka ya mtu.sijui lakini... nikilinganisha home... mama alikuwa hatumii gari sana kama mzee... na mzee alimnunulia gari lake.. enzi tupo primary... mama hata kwenda nalo kazini anaona shida.. anadandia lift ya mzee...
nikiangalia dada zangu hata wao japo wameolewa wanakaa makwao.. ila wanapanda sana madaladala na bajaji.. kuliko hata gari zao..
wanawake wengi wana shobo na magari ujanani tu... ila wakiwa matured hawanaga shobo .. kwanza wabahili kuweka mafuta wanaona hasara.. wanakomaa na lifti za waume zao tu..
mwanamke anavyozidi kukua umri wake ndivyo anavyozidi kuwa mbahili wa hela zake hii ni tofauti na mwanaume.. ujanani anakuwa mbahili ila umri unavyozidi ongezeka anazidi kupunguza ubahili
No comment on this my dear coz mi sina hata baiskeli.Gari ya chini yeyote mbaya asee, utafikiri unaburuzana na lami..
hahahaa sentensi ya mwisho nimecheka aiseee,.but swahiba .katk kundi LA wanawake 10 wasio baba ika na magari nimmoja tuNi kweli mkuu...but sio wanawake wote! Unajua nini inategemea na hulka yako!
Mimi toka nikiwa mtoto labda say 11/12 yrs, nikimuona mwanaume na Gari natengeneza picha fulani kuwa huyu anajisikia na gari lake na lazima ni kitombi! So nikatokea kuchukia mwanaume Mwenye Gari automatic!
Now ni mdada na na hizo Gari labda zaidi ya quality ya hizo za wanaume wanazosumbua wadada mjini na nimeyashuhudia! Wanawake wana wenge asee na ndinga, mi nshawahi mara kibao wadada wananizunguka wakifikiri ni Me![]()
![]()
...kushusha kioo, daah walisambaa hao na mitusi mikubwa mikubwa juu yangu, haa haaa wanawake sisi!
hahaaaa dàaaahhNi
Ni kweli kabisa kuna jamaa yangu alikuwa na Toyota collora, demu wake KAJA kuchukuliwa na dereva wa manispaa alikuwa akiendesha Gari ya Mkurugenzi STK mpya, demu alijuwa Gari yake huyo jamaa. Hii Dunia ina mambo. Ndo maana wahenga wanasema mvua in kama mwanamke inanyeshea hata kwenye mavi.
hata mimi naona aiseee naja uniazime moja namimi ning'arishe nyota..cwajua 2018 ndio kwnza bado mbichi kama hint kigori ..huwenda ukiniazima nikajikuta natusua mwaka huuHaaa haa best..mtoa mada kaingia anga zangu, so mambo ni![]()
![]()
![]()
Mmmh real dear?No comment on this my dear coz mi sina hata baiskeli.
Wewe ni kisista duu kinachopambana na hali yake hapa mjini.Endelea kufikiria wote tunaota kama wewe...haaa haaa basi naendesha mkokoteni!...umefurahi?