Mbona hata remote inavunja ndoa... Yangu ilitaka kuvunjwa na mto kitandani.Duh!, yaani gari inavunja ndoa?
Speechless..
Mbona hata remote inavunja ndoa... Yangu ilitaka kuvunjwa na mto kitandani.
Sio gari tu mm mke wangu alinunuliwa nyumba na baba yake akaanza kuniletea jeuri.
unaongelea familia zenye TV mbili mbili wewe... yaani mke anataka kuangalia Shilawadu(weekend movie) mme anataka kuangalia BBC swahili.Hahaha!, remote sikatai kwa kweli kuna raha yake kuangalia channel unayopenda tena bila bughudha.
Lakini at least mtu anakuwa na choices, kama vipi akalale kwenye sitting room kwenye couch aangalie huko.
Sasa ndoa ikivunjika kwa ajili ya gari halafu?!..
unaongelea familia zenye TV mbili mbili wewe... yaani mke anataka kuangalia Shilawadu(weekend movie) mme anataka kuangalia BBC swahili.
Ikivunjika akili itarudi baadae. ila pia wenye gari zaidi ya limoja ni vigumu kugombana.
Hata mimi nikiwa na gari moja mke wangu ndio ataitumia siwez kukubali mke wangu ashikwe makalio kwenye mwendokasi, huo sio uanaume, kuhusu mwanamke kua jeuri anapomiliki gari niseme tu inategemea tu na hulka ya huyo mwanamke wapi wanamiliki ndinga za maana lkn nafasi ya mumewe ipo palepale..Mwanamke akiwa na hekma tu hata amiliki Darisalama wala hasumbuki
unaongelea familia zenye TV mbili mbili wewe... yaani mke anataka kuangalia Shilawadu(weekend movie) mme anataka kuangalia BBC swahili..
Ikivunjika akili itarudi baadae. ila pia wenye gari zaidi ya limoja ni vigumu kugombana.
C wanawake wanajilengesha???inakua hamna jns inabd tu iwe hvoKuna wanaume pia wanakua vitombi baada ya kununua magari..hili unaliongeleaje
N, despite of the claims of feminism or 50/50 theories...Hata kama ni gari moja Daby, yaani gari ivunje ndoa?!, ina maana gari ambalo ni kitu cha kupita ina thamani sana kwao kuliko ndoa?!
Huna lolote nimekukamata pabayaWewe ni kisista duu kinachopambana na hali yake hapa mjini.
Again, Hongera kwa ndoto nzuri.

Nimeshangaaa!!!...huyo atakuwa mwanamke wa ninjilinjiiDuh!, yaani gari inavunja ndoa?
Speechless..
N, despite of the claims of feminism or 50/50 theories...
Women are attracted to men more dominant than they are,
You always[excemptions zipo] want to be inferior, hence, even if a Woman earns all the money[ndinga/gari kwenye ndoa] she could ever need, she will still only be attracted to a higher wage earner.[mwenye ndinga kali].
Darasa anakuambia what do you expect?
Nimeshangaaa!!!...huyo atakuwa mwanamke wa ninjilinjii
Tehtehteh... then..Hahaha, Daby it's not like we want to be inferior or put down when we want someone dominant as you said.
It's more of a SECURITY, that we want from a man even with the fact that we have everything we need.
We want to be, and feel Secure with a man.
Someone that who'll guarantee our safety and be there for us in case we're in need of something.
Shost uvunje ndoa kisa miguu minne? Hatarious!...nampenda sweetie wangu asee bora hata nitembelee mikono!Hahaha!, eti wa Nanjilinji.
Kwa kweli, cos sio kwa kupenda gari kiasi hicho.
Tehtehteh... then..
She was searching more security [ndai kali].
na ukitafuta ulinzi wa Kimarekani kwenye Jeshi la Tanzania tegemea kuvunja ndoa.