mchecheto
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 1,532
- 1,465
nyie mkiona mkaka ana gari si mnaanza kulowa chupi kabla hata hamjatongozwa?Nyoosha sentensi ueleweke! Lione!
nyie mkiona mkaka ana gari si mnaanza kulowa chupi kabla hata hamjatongozwa?Nyoosha sentensi ueleweke! Lione!
Mumewe usafiri alikuwa nao kuzidi wa mkeweMkuu hujanijibu sasa wakati anamletea mme wake nyodo...huyo Mme wake alikuwa anausafiri au hana kabisa?
Kama alikuwa nao ni wa aina gani?usikute alikuwa hana usafiri...
Kweli mkuu. Kupwa kwa akili za binti ni pale tu aonapo gariHuko umeenda mbali sana. Hawezi hata kuchanganua kuwa hii ni ya Shirika. Wao ilimradi uwe unaendesha gari tu hata kama plate namba ni DFP
Passo vp haimo?Kwangu mimi, the most best cars are:
1) Lexus LS 460
2)Cadillac CT6
3)Audi S8
4)Jaguar XJ
5)BMW Alpina B7
6)Maserati Quattroporte
7)Aston Martin Rapide S
8)Mercedes-Benz AMG S65
Women always don’t care about cars but you are different..Kwanini mkuu!
Wanawake achana nao kabisa. Atakubembeleza wewe utumie vitz yeye awe na hiyo Rav4Mimi Nafikiri hii inategemea Kwa mfano Unakuta Mwanamke ana gari Vitz Au Paso halafu Mimi nina Rav 4 sasa jeuri itaanzia wapi?
Kuna hoja nzuri hapa. Kina mama ni lumbukeni wa magari japo huyachoka haraka sana kutoyapenda tena wakishayapata. Hii ni kinyume kwa wanaume, kadri anavyookaa na gari ndivyo anavyolevya na kushindwa kabisa kuliacha garisijui lakini... nikilinganisha home... mama alikuwa hatumii gari sana kama mzee... na mzee alimnunulia gari lake.. enzi tupo primary... mama hata kwenda nalo kazini anaona shida.. anadandia lift ya mzee...
nikiangalia dada zangu hata wao japo wameolewa wanakaa makwao.. ila wanapanda sana madaladala na bajaji.. kuliko hata gari zao..
wanawake wengi wana shobo na magari ujanani tu... ila wakiwa matured hawanaga shobo .. kwanza wabahili kuweka mafuta wanaona hasara.. wanakomaa na lifti za waume zao tu..
mwanamke anavyozidi kukua umri wake ndivyo anavyozidi kuwa mbahili wa hela zake hii ni tofauti na mwanaume.. ujanani anakuwa mbahili ila umri unavyozidi ongezeka anazidi kupunguza ubahili
mh hizo ni comfort si ndio....Kwangu mimi, the most best cars are:
1) Lexus LS 460
2)Cadillac CT6
3)Audi S8
4)Jaguar XJ
5)BMW Alpina B7
6)Maserati Quattroporte
7)Aston Martin Rapide S
8)Mercedes-Benz AMG S65
Mchawi ni huyo jamaa kutomnunulia gari mkewe..Habari wana jamii! Kwanza poleni kwa msiba wa Mzee Kingunge. Niingie kwenye maada. Katika pita pita kwenye familia nyingi nimegundua kama familia (mke, mme) wakiwa na gari moja basi hilo gari mara nyingi litakuwa linatumiwa na mke. Wanaume wengi hawajali hivyo yeye ataamua kupata daladala. Shida nyingine inayoonekana kwenye jamii wanawake wengi wakiwa wanamiliki magari wanakuwa jeuri na viburi hawana heshima kwa waume zao. Mfano mzuri nilishuhudia jamaa yangu ndoa yao ilivunjika baada ya mkewe kununua gari tu. Ijapokuwa jamaa nae ana gari lake lakini mwanamke alianza jeuri. Je mchawi wa wanawake ni magari? Karibuni tujadili.
Yaan umejuaje nami nimeichoka nataka nyingine kabisa.Kuna hoja nzuri hapa. Kina mama ni lumbukeni wa magari japo huyachoka haraka sana kutoyapenda tena wakishayapata. Hii ni kinyume kwa wanaume, kadri anavyookaa na gari ndivyo anavyolevya na kushindwa kabisa kuliacha gari
Well saidsio kweli,
inategemea na mtu...mbona kuna wanaume wakinunua hata simu mpya tu anaanza dharau kwa mke wake hivyo ni tabia tu sidhani kama wanawake wote wapo hivyo.
Vingine vi baby WalkerGari tamu nyie.. Sema inategemea na gari
MamboWell said
Vingine vi baby WalkerGari tamu nyie.. Sema inategemea na gari
Mambo
nakusalimu Lovely mumPouwa nambie
Vingine vi baby Walker
Ahsante miller mzm wewenakusalimu Lovely mum
Mwanamke akishakuwa na uchumi mzuri ndivyo walivyo.........Habari wana jamii! Kwanza poleni kwa msiba wa Mzee Kingunge. Niingie kwenye maada. Katika pita pita kwenye familia nyingi nimegundua kama familia (mke, mme) wakiwa na gari moja basi hilo gari mara nyingi litakuwa linatumiwa na mke. Wanaume wengi hawajali hivyo yeye ataamua kupata daladala. Shida nyingine inayoonekana kwenye jamii wanawake wengi wakiwa wanamiliki magari wanakuwa jeuri na viburi hawana heshima kwa waume zao. Mfano mzuri nilishuhudia jamaa yangu ndoa yao ilivunjika baada ya mkewe kununua gari tu. Ijapokuwa jamaa nae ana gari lake lakini mwanamke alianza jeuri. Je mchawi wa wanawake ni magari? Karibuni tujadili.
hahaa mtoa mada kakugusaGari tamu nyie.. Sema inategemea na gari
hahaaaRAV4 yako naijua,siku ile ulikuja nayo kwenye mafunzo ya FOREX!