klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,651
- 5,139
Kuna wengine hawanuni wakagoma kusema tu , unakuta limama limenuna hata kupiga msuwaki halitaki eti linakukomoa usiombe denda. khaa! wanawake ni kipimo cha uvumilivu banahalafu wanafanana kweli wakiwa wamenuna,
lol...sijui ndo nature?