Mlimazunzu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2010
- 415
- 52
Tatizo lenu ndo hilo,
yaani unaona ukininyima hiyo starehe ndo umeniweza kweli,
Sasa ngoja nikwambie Merytina,
huwa kuna raha yake unapo do na mwenzio kakupa kinuno,
Wanaume wenzangu wanaweza sema hapa!!!!!!!!!!!
Mie simo kabisa akinuna napanga safari nikiwa huko atanisemesha tu lazima hata kama sisafiri kweli