SERA YA MAPENZI kwa vipindi tofauti..!
MIAKA YA:
1986-1990.
NIMEKUBALI ila usimwambie mtu..!
MIAKA YA:
1991-1995.
NIMEKUBALI lakini namwogopa Baba na Mama watajua..!
MIAKA YA:
1996-2000.
NIMEKUBALI lakini sitaki kufanya mapenzi mpaka unioe..!
MIAKA YA:
2001-2005.
NIMEKUBALI lakini tutumie condom..!
MIAKA YA:
2006-2010.
PESA yako tu, maneno sitaki..!
Balaa iko hapa...!
MWAKA:
2011-2015.
NIMEKUBALI lakini haupo peke yako..!
Asalalee..!
TUMEKWISHA.
ooh my..!
Yaani tumekwisha...!
Mtu anaambiwa hauko peke yako lakini yupo tu. Mie sielewi baadhi ya vidume wenzangu
Hahahahaha poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!
Wewe umempanga na yeye kakupanga vile vile tena zaidi yako.
Mfano tu.
1. Wewe una mnunulia demu simu, mwanaume mwenzio ana mtumia vocha
2. Unamrushia demu SMS love yeye anafoward kwa mwanaume mwenzio
3. Unamnunulia demu wako chupi mwanaume mwenzio anamvua
4. Unamuomba mfanye mapenzi japo kwa dakika kadhaa, mwenzio ana bembelezwa na demu wa kalale mpaka asubuhi hahahahahahahhah mpaka hapo nyie pia mnachangamoto:A S wink:
I've never shared a woman knowingly...!Because you're weaker than us :wacko:
Toa na changamoto za wanaume, mimi naamini kuwa na wanaume nao wanachangamoto.Mfano hata uwe mhuni vipi hata kama ulidanganya wasichana wangapi,inapofika suala la kuoa lazima uchanganyikiwe tu maana unawaza hivi Amina akija kanisani kuzuia ndoa yangu itakuweje?Hivi mke wangu akijua kama nilikuwa natembea na machangu itakuweje.Lazima pia ukubaliane na mimi kuwa kwa mwanaume ambae akili yake ipo sawasawa lazima na yeye ana changamoto zake katika mahusiano
I've never shared a woman knowingly...!
..In that case i ain't weak at all
About what, mademoiselle!!Tells alot.
ila huu ukweli unaboa?!! Nikifikiria hapo tu nachoka kabisa
Because you're weaker than us :wacko:
Is that true??[/QUOTE
Very much so!