Wanawake mnisaidie, elezeni kuhusu hili

Apr 11, 2011
59
41
Habari ndugu zangu.
Juzi nilisafiri kwa basi toka arusha kuelekea mbeya kwa shughuli zangu binafsi. Tulifika makambako jioni jioni, dereva akasimama ili tuchimbe dawa halafu safari iendelee. Nikiwa napunga kaupepo kwa angalau dakika mbili, pembeni yangu nilimsikia mwanamke akimuuliza mtu kwenye simu, "Naomba please uniambie jina la ile dawa tunayotumia kuogeshea watoto tunapoanza kuchakachua". Dada huyu alionekana kuwa mjamzito. Akaendelea kuongea, then baadaye akakata simu tukapanda basi na safari ikaendelea. Tulifika Mbeya salama.

Sasa naomba wanawake wenye uelewa wa jambo hili wanifahamishe. Kwanza hiyo dawa inafanya kazi gani? Inaitwaje? je kuna madhara kwa mtoto pale mwanamke anapochakachua (kujamiana) na mwanaume aliyezaa naye au mwanaume mwingine zaidi ya mwanaume aliyezaa naye (kazi za nje)?

Nina hamu ya kutaka kujua jambo hili kwa undani.

NB: Naomba mwenye ufahamu anijulishe
 
Sayansi ya mzungu haitambui kubemenda (nilisikia kuhusu kudemenda JF kwa mara ya kwanza)
 
kaka umezunguka dahhh..kwanini usingesimamisha hoja moja kwamoja tu kwamba...JAMAN NATAFUTA DAWA ILI NISIBEMEMNDE MWANANGU...mwanangu bado mdg na ninataka kuendeleza JUDO sasa nifanyeje ili nisimdhuru mtoto?

km kuna dawa bas inaitwaje?

je na mke wangu akienda kupigwa nje kuna madhara kwa mtoto?


aya mambo ya kawaida saaaaaaaana hayaitaj tafsida panapo kuuliza

Karibu chai bas..napata tea na kiporo cha wali na maharage ya naz.....njoo tule tukimaliza ntakuambia dwa ikoje ,utaipata wap..na unatumiaje..USIPOKUJA NO DAWA.

NAWASILISHA...
 
Sayansi ya mzungu haitambui kubemenda (nilisikia kuhusu kudemenda JF kwa mara ya kwanza)

mhh i kitu ipo mumy..na si kila kitu lazima kipitishwe na wazungu ili kiwe sahihi...

kipo sana na ndiyo maana wazee wetu walitafuta dawa ya ili swala....umeshawai kuish vijijin?au uswahilini kule typico?

watu wanabemenda sana ..ukiacha utapiamlo/malaria na maradh mengne swala lingine linalosumbua watoto ni kubemendwa...

assume we una mtoto wa mwezi mmmoja ivi afu daily unapga kaz za nje...sometimes na wanaume tofauti ahh lazima mtoto ataisoma namba ..lazima adhurike ata km kanuni nyingne za lishe na mambo yote ya sayansi kimu unazingatia bt stl mtoto atadhurika ....sjui kukuelezea kitaalamu cz m nr medical pasonee bt ivo ndo najua kwa kuona na kusikia pia

na km ukiwa na mimba kule uswahilini mambo ya kukuambia wakat wa malez ya mtoto ni ayo..we mwanaweee kuwa makini uyu kiumbe atak uchafu...usije kumb emenda..usiruke ruke......ata km tukienda kwa HKL wanasema kuwa LISEMWALO LIPO...


WAZUNGU SI KILA KITU KWAMBA WAKISEMA WAO/LIKITOKEA KWAO NDO KWELI/SAHIHI
 
Kaka hayo yapo,kila mtu anayafaham kwa upeo wake.
Kwa ushauri mzuri we mtafute mtaalam wa afya kwani hlo n tatizo la kiafya zaidi.
 
kaka umezunguka dahhh..kwanini usingesimamisha hoja moja kwamoja tu kwamba...JAMAN NATAFUTA DAWA ILI NISIBEMEMNDE MWANANGU...mwanangu bado mdg na ninataka kuendeleza JUDO sasa nifanyeje ili nisimdhuru mtoto?

km kuna dawa bas inaitwaje?

je na mke wangu akienda kupigwa nje kuna madhara kwa mtoto?


aya mambo ya kawaida saaaaaaaana hayaitaj tafsida panapo kuuliza

Karibu chai bas..napata tea na kiporo cha wali na maharage ya naz.....njoo tule tukimaliza ntakuambia dwa ikoje ,utaipata wap..na unatumiaje..USIPOKUJA NO DAWA.

NAWASILISHA...

Sasa nyumbani kwako wapi? Acha utani, tell if you know. Halafununapenda kula sana
 
Ni kati ya imani zinazosaidia jamii kuishi kwa maadili tu! Hakuna shida yoyote labda mangonjwa ambapo vimelea vyake vinafika hadi kwenye Maziwa ya mama!
 
mhh i kitu ipo mumy..na si kila kitu lazima kipitishwe na wazungu ili kiwe sahihi...

kipo sana na ndiyo maana wazee wetu walitafuta dawa ya ili swala....umeshawai kuish vijijin?au uswahilini kule typico?

watu wanabemenda sana ..ukiacha utapiamlo/malaria na maradh mengne swala lingine linalosumbua watoto ni kubemendwa...

assume we una mtoto wa mwezi mmmoja ivi afu daily unapga kaz za nje...sometimes na wanaume tofauti ahh lazima mtoto ataisoma namba ..lazima adhurike ata km kanuni nyingne za lishe na mambo yote ya sayansi kimu unazingatia bt stl mtoto atadhurika ....sjui kukuelezea kitaalamu cz m nr medical pasonee bt ivo ndo najua kwa kuona na kusikia pia

na km ukiwa na mimba kule uswahilini mambo ya kukuambia wakat wa malez ya mtoto ni ayo..we mwanaweee kuwa makini uyu kiumbe atak uchafu...usije kumb emenda..usiruke ruke......ata km tukienda kwa HKL wanasema kuwa LISEMWALO LIPO...


WAZUNGU SI KILA KITU KWAMBA WAKISEMA WAO/LIKITOKEA KWAO NDO KWELI/SAHIHI

Sijawahi ishi kijijini wala uswahili typical (kama ulivyoita), ila mimi binafsi siamini kitu kisichoweza kuthibitishwa kisayansi.

Sasa kama mtu ataamua kufata mila ambazo hazijathibitishwa ki sayansi ni khiari yake, ila sayansi haitambui kubemenda wala mimi sikuwahi kuisikia mjini

Suala linakuja, unajuaje kuwa mtoto ameathiriwa na kubemendwa?
 
Wanaume wa miaka hii wanaamini mama unapokuwa unanyonyesha umeshafuka,
ndiyo chanzo cha kutafuta totoz nje,
kwa afya ya mtoto siyo nzuri kwani lile jasho unalotoka nalo huko nje linamzuru mtoto.
unakuta hata mtoto anachelewa kukaa, kutambaa hata kutembea kwa ajili hiyo.
kwani kumngoja mkeo walau 40 days unashindwa nini??????????
 
Dawa ya kudumu ni kukaa na mke/mme wako na wote mkubali kuacha kazi za nje sasa hizo dawa jamani mtakuwa mnampa mtoto kila siku ?si katakomaa kabla ya siku zake?mbona ss wengne tuna watoto na hawajabemendwa au ss hatuna feelings?
 
mimi huwa najiuliza hili.madhara ya kubemendwa kama yapo yanakwisha lini?
au anayapata mtu milele???????
akiwa mtu mzima atakuwa tofauti vipi na wengine?
 
Tafuta mti unaitwa mmalala chuma majani yake halafu yachemshe
uchanganye na majani ya Likanayuma ambayo yametwangwa bila
kuchemshwa halafu chemsha mizizi ya mnabuhulile ukimaliza koroga
na miti ya chikandanga ambayo imelowekwa. Utakuwa unakunywa
kabla ya Tendo la ndoa ni dawa safi sana hiyo!
 
Dawa ya kudumu ni kukaa na mke/mme wako na wote mkubali kuacha kazi za nje sasa hizo dawa jamani mtakuwa mnampa mtoto kila siku ?si katakomaa kabla ya siku zake?mbona ss wengne tuna watoto na hawajabemendwa au ss hatuna feelings?

Hivi kubemenda ndo kunakuwaje kuwaje jamani? Nasikiaga tu wanaongea!
 
Sijawahi ishi kijijini wala uswahili typical (kama ulivyoita), ila mimi binafsi siamini kitu kisichoweza kuthibitishwa kisayansi.

Sasa kama mtu ataamua kufata mila ambazo hazijathibitishwa ki sayansi ni khiari yake, ila sayansi haitambui kubemenda wala mimi sikuwahi kuisikia mjini

Suala linakuja, unajuaje kuwa mtoto ameathiriwa na kubemendwa?

Ndugu yangu sisi wazazi tunayajua. Kua uyaone wanajf wote lio wazazi mtakubaliana nami, but sori i beg to differ, shukuru sana wazazi wako hukubemendwa.
 
Sijawahi ishi kijijini wala uswahili typical (kama ulivyoita), ila mimi binafsi siamini kitu kisichoweza kuthibitishwa kisayansi.

Sasa kama mtu ataamua kufata mila ambazo hazijathibitishwa ki sayansi ni khiari yake, ila sayansi haitambui kubemenda wala mimi sikuwahi kuisikia mjini

Suala linakuja, unajuaje kuwa mtoto ameathiriwa na kubemendwa?

Ndugu yangu sisi wazazi tunayajua. Kua uyaone wanajf wote lio wazazi mtakubaliana nami, but sori i beg to differ, shukuru sana wazazi wako hukubemendwa.
 
Tafuta mti unaitwa mmalala chuma majani yake halafu yachemshe
uchanganye na majani ya Likanayuma ambayo yametwangwa bila
kuchemshwa halafu chemsha mizizi ya mnabuhulile ukimaliza koroga
na miti ya chikandanga ambayo imelowekwa. Utakuwa unakunywa
kabla ya Tendo la ndoa ni dawa safi sana hiyo!
mkuu huu msamiati ni wa kabila gani??
 
Back
Top Bottom