Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 17,213
- 80,141
Mimi naenda kutafuta mke kule kijijini kabisa, wanapoona gari na kuhisi labda wameona tembo.
Kuna wenzio walikwenda kufanya kazi mahala, bush huko, wakavipaparukia vibinti vidogo wakijipa vichwa kuwa ni vitoto safi kabisa. Waliambulia GONO la kwenda.
Ila kama ulivyosema “Wanapoona gari wahisi wameona tembo” utapata kilicho safi. Ila sio kwa vijiji vyenye muingiliano mkubwa wa watu kutokana na shughuli za kiuchumi.