Wanawake mnaovaa strap on acheni kutuharibia wake zetu

Wanawake mnaovaa strap on acheni kutuharibia wake zetu

Habari ndugu zangu

Wanawake mlio amua kuishi na mabinti room moja iwe vyuoni , mitahani au popote pale kwenye nyumba za starehe , acheni kabisa kutuharibia wake zetu wa baadae hizi strap on zinawafanya wake zetu wawe sugu sana kiasi cha kupelekea kutuona sisi wanaume hatuna nguvu za kupiga dodoki

Maana huu ni usodoma na ghomora acheni kabisa hii dhambi mnatuharibia wake zetu kabisa
Mkuu umezidi na hizi mada za Wanawake, achana nao hata kama wamekutia majeraja ya moyo. Kuendekeza kuwaanzishia uzi kila muda unapata msongo wa mawazo usio wa lazima
 
hii ni sawa na ku masturbate, radha halisi ya tendo la ndoa ni upate mzizi kutoka kwa opposite sex. Ni ushenzi tu ambao ulishalaaniwa toka enzi za Sodoma na Gomola.

Na ukichunguza sana utakuta kuna laana kwenye koo za hawa watenda huu ufedhuli - unakuta ukoo ni mishoga kibao, mijizi na misagaji, haya ndiyo matokeo ya laana.

Na ndiyo maana tunaambiwa ukitaka kuoa ama kuolewa take time angalia historia ya huyo walau vizazi 3 vya kabla yake, yaani babu yake na ndugu zake, baba yake na ndugu zake na yeye muhusika na ndugu zake.
 
Habari ndugu zangu

Wanawake mlioamua kuishi na mabinti room moja iwe vyuoni, mitahani au popote pale kwenye nyumba za starehe, acheni kabisa kutuharibia wake zetu wa baadae hizi strap on (mikanda ya kuvaa yenye maumbile ya kiume {uume}) zinawafanya wake zetu wawe sugu sana kiasi cha kupelekea kutuona sisi wanaume hatuna nguvu za kupiga dodoki.

Maana huu ni usodoma na ghomora, acheni kabisa hii dhambi mnatuharibia wake zetu kabisa.
Hata matango na carrot zingepigwa marufuku kuuzwa mitaani na Pepsi pia
 
Unaongelea kuharibiwa wake zenu wakati kuna mpaka ndugu zenu wa kiume wanavaliwa strap on.

Kuna jamaa alikuwa anahama kutoka kwenye apartments kuhamia nyumbani kwake alipojenga. Ili kupunguza makorokoro yasio na maana baadhi ya vitu aliviacha kwenye apartment na kuniambia niende nikaangalia kitachonifaa maana sio vyote vya ovyo.

Katika kuchambua chambua nilikuta kuna box moja la mbao ambalo baadae nilikuja gundua lilisahauliwa kimakosa.

Humo ndani kuliko na dildos, strap ons, vibrators ma vitu yanayotumika katika bondage sex kama pingu pia kulikuwa na flash kadhaa ambazo baada ya kuja kuziangalia kuna clip za kutosha jamaa akisuguliwa na mademu waliovaa strap on.

Na hakuwa yeye tu kulikuwa na file za kutosha za group sex ambazo alikuwa na wenzake wakifanywa na mademu wenye strap on.

Nilimpigia jamaa simu na kumuuliza nini maana ya huo upumbavu, jibu alilonipa ni kuwa as long as hafanywi na mwanaume yeye ni rijali bado. Baada ya hiyo simu na urafiki wenyewe uliishia hapo hapo.

Kwa sasa nasikia anaishi uholanzi na mke wa kizungu ambapo naamini yeye ndio mke na huyo mke ndio mume.

Utandawazi umetuletea matatizo tu.
Asahau kabisa flash yenye kumbukumbu ya uchafu wake alokuwa anafanyiwa[emoji848]
 
Back
Top Bottom