MADAXWEYNE
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,543
- 3,340
Wanawake hadaa wanaume shujaa! wanatamani watupe nguo zote watembee uchiDunia hadaa ulimwengu shujaa!
Wanawake hadaa wanaume shujaa! wanatamani watupe nguo zote watembee uchiDunia hadaa ulimwengu shujaa!
Hata wimbo wanguvu za kiume tatizo ni hilohilo. Kitu unakiona kila siku hata ukitengewa ukila kidogo tu hamu inakata. Siku hizi hata wanaobaka vichochoroni nawashangaaDunia imeenda Kasi Sana yaani viskirt tight leo hii imekuwa Ni fashion?si nguo za ndani hizi mnavaa mpaka mjini barabarani hamna aibu msichokijua Ni kuwa wanaume tunapenda wanawake wanaojisitiri kiheshima nyie wa kisasa tunapiga na kuacha tu View attachment 1645501View attachment 1645502View attachment 1645503View attachment 1645504
Usiwaulize, wewe omba mzigo tuAfu wanavaa bila chupi dadeki..... Ukiuliza ka biashara wanakua wakali sijui lengo ninj
Kha!kha!Af utu tu dude tulikua tunavaliwa ndani miaka miwil nyuma..
Jana maeneo ya goba wakat nanunua mahitaj jion mdada na mama ake wote wamevaa hvo vidude..mama cheus dada cheupe
Ila ukiona mwnaamke anavaa hvo ujue msafi
Mi napenda kumwona mwanamke kavaa hivo ila sio demu wangu avae..marufuk
Wavae wengne si demu wangu..au mke..hapana...atakula makofi hatoamini..a madem wengne wa barabaran wavae tu fresh.fahar ya machoKwa nini?
Huoni akivaa anakuwa ukisasa. Rafk zako watakucheka.
Kavaaa Hivyo?.. unatania Mkuu?Nilishangaa sana kumkuta ofisi fulani anaomba kujitolea
😂😂😂 ukajiulizaje?HILI vazi lilinishangaza Sana...naona Watu wanavaa skintight wanapuyanga mjini...nikajiuliza Au nimekuwa mzee?...
Wallahi...nilikua na drive nikamuona mdada kavaa hicho cheupe..na tshirt nyeupe...na kibengi mgongoni ...nilishangaa Sana.ukajiulizaje?
Wallahi...nilikua na drive nikamuona mdada kavaa hicho cheupe..na tshirt nyeupe...na kibengi mgongoni ...nilishangaa Sana.
Nikasema Mimi Sasa imefika mahala nashangaa mavazi ya vijana?...Basi Uzee/utu uzima umenifika...Wacha nifanye IBADA KIFO HAKIKO MBALI.
....Aaah ukishakuwa mtu mzima...unachangua na vyakusema..Tujikumbushe enzi zako za ujana
Naomba liftWallahi...nilikua na drive nikamuona mdada kavaa hicho cheupe..na tshirt nyeupe...na kibengi mgongoni ...nilishangaa Sana.
Nikasema Mimi Sasa imefika mahala nashangaa mavazi ya vijana?...Basi Uzee/utu uzima umenifika...Wacha nifanye IBADA KIFO HAKIKO MBALI.