vigauni vinavaliwa mbona
😂😂Pedo haina shida. Hakikisha mnyororo una mafuta chifu
magauni yng ya vitenge kumbe mazuriHao n chapa ilale....had waanze kuvaa vzuri.
Sent using Redmi7
Mmh!why sio demu wako?Af utu tu dude tulikua tunavaliwa ndani miaka miwil nyuma..
Jana maeneo ya goba wakat nanunua mahitaj jion mdada na mama ake wote wamevaa hvo vidude..mama cheus dada cheupe
Ila ukiona mwnaamke anavaa hvo ujue msafi
Mi napenda kumwona mwanamke kavaa hivo ila sio demu wangu avae..marufuk
We msafi wapi!Juzi kati nimemuona mmoja kavaa cheusi ana-mabakabaka kama ya KENGE,NI SHIDA BABA
nimechekaBinafsi nikiona mwanamke kavaa hvyo moyo wangu unafarijika Sana, nakua na furaha Sana, ila cwezi oa mwanamke wa hvyo.muendelee kuvaa hvyo mnatufurahisha sana
Alafu wale wanaojifanya wakali ndio takataka kabisa! zilizoozaAfu wanavaa bila chupi dadeki..... Ukiuliza ka biashara wanakua wakali sijui lengo ninj
Nakuamini nusu kama ambavyo unaonekana kwenye avatar yako, ila nusu nyingine nareserve kama amvavyo kuonekani nusu iliyobaki.Mimi hata sijui navaa nini ila hivyo sivai