MKALI W MAMBO
Senior Member
- Aug 9, 2018
- 190
- 135
Habari za jioni wadau...?
Nimepata Taharifa ya Habari kutoka Zanzibar. Ni kwamba Mwanaume mmoja mwenye Umri wa miaka 43 ameukumiwa kunyongwa mpaka kufa. Kwa kumuua mkewe kwa kukusudia.
Mwanaume huyo amesema alifanya maamuzi hayo baada ya mkewe kumnyima Tendo la ndoa Usiku ndipo alipochukua panga na kumchalaza kichwani mapanga.
Hakachukua huamuzi wa kwenda kujisalimisha mwenyewe kituo cha polisi....
Wanaume wenzangu mnalionaje ili je ? Alifanya maamuzi sahii mwanaume mwenzetu...?
Na nyinyi wanawake je ? alichofanya mwanamke mwenzenu ni sahii na kwa nini huwa mnafanya hivi kwani mlilazimishwa kuingia katika ndoa.
Kabla amjaingia katika ndoa mnatakiwa kutambua hile ni haki ya kila mmoja anastaiki kupewa kwa muda muafaka na sio kuanza kuumizana kama utaki si urudi kwenu kwani umerazimishwa
Yaani mimi nachukia kitu kama hiki Afu malalamiko haya yapo kwenye ndoa nyingi uwezi sikia mume kamnyima mke unyumba hila mke ndiye anamnyima mume unyumba.
ALAFU UTAWASIKIA SITAKI UKEWENZA MIE.....
BADILIKENI MTAUMIZWA SANA.
Nimepata Taharifa ya Habari kutoka Zanzibar. Ni kwamba Mwanaume mmoja mwenye Umri wa miaka 43 ameukumiwa kunyongwa mpaka kufa. Kwa kumuua mkewe kwa kukusudia.
Mwanaume huyo amesema alifanya maamuzi hayo baada ya mkewe kumnyima Tendo la ndoa Usiku ndipo alipochukua panga na kumchalaza kichwani mapanga.
Hakachukua huamuzi wa kwenda kujisalimisha mwenyewe kituo cha polisi....
Wanaume wenzangu mnalionaje ili je ? Alifanya maamuzi sahii mwanaume mwenzetu...?
Na nyinyi wanawake je ? alichofanya mwanamke mwenzenu ni sahii na kwa nini huwa mnafanya hivi kwani mlilazimishwa kuingia katika ndoa.
Kabla amjaingia katika ndoa mnatakiwa kutambua hile ni haki ya kila mmoja anastaiki kupewa kwa muda muafaka na sio kuanza kuumizana kama utaki si urudi kwenu kwani umerazimishwa
Yaani mimi nachukia kitu kama hiki Afu malalamiko haya yapo kwenye ndoa nyingi uwezi sikia mume kamnyima mke unyumba hila mke ndiye anamnyima mume unyumba.
ALAFU UTAWASIKIA SITAKI UKEWENZA MIE.....
BADILIKENI MTAUMIZWA SANA.