Wanawake mnaionaje hii????????????

kwa msimamo huu kina mama mtaharibu market ya hii biashara yetu mpya. mkikosa hela mimi naomba msinipige virungu kwasababu uchumi mnao lakini mnauvalia sidiria tu

kwa upango huu, hawachelewi kuanzisha "ufugaji wa akina mama kwa ajili ya maziwa ya icecream"...lol
 
mnh hii kali,masista du watauzaje sasa l.o.l, si shurti mtu uwe mjamzito au una mtoto unanyonyesha ndio maziwa yatoke?
 
Back
Top Bottom