kukumega
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 1,134
- 485
Mume hanyimwi unyumba
Umeona ee. Habari za siku? Maana siku nyingi sijakutia machoni.
Mume hanyimwi unyumba
na wewe mwenyewe ujue kucheza sio unalala kama gogo tu, kwa ujumla mapenzi ni wawili wote hata kama ufanyeje lkn upande wapili nao unadetermine utamu wa tendo
Vitatizo vidogo vidogo fasta vinaisha mzee akisha oja mzigo mambo safiiiii.
Kwa kua sasa nimekuona nimefurahi.
Sasa ukikaaa tu kama gogo utam utaupataje utam wa goli kukur kakara
wakati mwingne waongeaji sanaaaa, vitendo huwa sifuri. lol
Sasa ukikaaa tu kama gogo utam utaupataje utam wa goli kukur kakara
wanawake wote mie naona sawa, maana wote wanavaa wigi, wanapaka kucha rangi, wanajiremba kwenye nyusi, wanasuka ruster.
eti nyie mliopo kwenye ndoa, ni kweli hii kauli ya mdada apa?
Du kama nakuona vileeeee unavyokukurukaga
Yaan utam wa ngoma uingie ucheze
hili suala la 'unyumba/sex' inaonekana sisi wanaume ndo huwa tunalihitaji sana kuliko nyie wanawake eeh? hivi inamaana nyie huwa hamhitaji?
Kwa wakubwa tuu
wanawake mloolewa acheni kubana miguu asubuhi tupeni mambo, hii inatusaidia kuwa freshi siku nzima kazini bila mawazo ya naniliiio, mimi nikipiga asubuhi yaani mchepuko nitauwaza saa ngapi?
Zingatieni hili wadada kudumisha ndoa na mapenzi kwa waume zenu