Kaveli
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 5,458
- 8,961
Hapa pumz ipo naenda hata mbio ndefu
basi anaekugegeda anafaudu to the fullest! lol
Hapa pumz ipo naenda hata mbio ndefu
Umuhimu sio lazima ila inapunguza stress hujawahi msikia Beyonce anasema anapokuwa kwenye wakati mgumu kitu anachopenda ni kudinyana na mumewe ????
hahahaaa, i wish nikuPM walahi. Nanukuu: ''kumueka na ukalala nae sio fani................fani kujua kucheza nae''
basi anaekugegeda anafaudu to the fullest! lol
Nkilala na hasira sitoi......
Wewe unapenda nini kwanza umeolewa kama yes nijibu kama bado basi subiri wakati utajua umuhimu wake.
We asubuhi hunywi chai nyambafuuuu ,
Kuna kaka alinieleza kuwa tendo la ndoa linasaidia sana kuleta suluhu kwenye matatizo ya ndoa.
Nkilala na hasira sitoi......
eti nyie mliopo kwenye ndoa, ni kweli hii kauli ya mdada apa?
Ahhhha nakupenda mno shemd
Ahhhhhha makubwa haya we umejuaje anafaudu mautam wakat n sir ya ndani
hili suala la 'unyumba/sex' inaonekana sisi wanaume ndo huwa tunalihitaji sana kuliko nyie wanawake eeh? hivi inamaana nyie huwa hamhitaji?
eti nyie mliopo kwenye ndoa, ni kweli hii kauli ya mdada apa?
sihitaji kukujibu kitu chochote kuhusu
maisha yangu personal ..
lakini kaa ujue kila mwanamke ni tofauti ...
aaah hapo kweny shem.... wataka kuninyima nn!!!
nimehisi ivyo, coz inaonekana unajua 'kucheza' nae vizuri haswaaa
aaah hapo kweny shem.... wataka kuninyima nn!!!
Yaani hakuna starehe napenda kama unyumba lol halaf umpate anaejua kukupelekesha hasa mamaaa utaomba poo tu halaf hakuna gol tam kama la asubuh
labda avatar yako hajaiona vizuri