Commander Dalton
Senior Member
- Feb 10, 2018
- 198
- 264
- Thread starter
- #41
Kulea hakuna shida ila kulea asiye wako ndio shida, atakapojitokeza baba wa mtoto halisi anadai mwanae huku akijinadi kwa tambwe kuwa ni mwanae, huku na wewe pia ukijua sio wako.Kwani kuna shida gani kulea?
Hizo fedheha uko tayari nazo mkuu?



