Angelicious
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 869
- 499
Kwani tatizo liko wapi kwa kujiremba kwao?
Dah...enough jamani.....wapeni break
Basi wewe ni malaya namba moja.....umekosa adabu kwa generalise mambo.
Na tafsiri hizi zipo kweli uwe makini ipo siku utapataniwa bei"ooh!!
nipataniwe bei na wanaume suruali kama wewe au badala uwaze kujenga taifa unawaza kubonjezwa kizenji hahahaa
Sio lazimaLazima mbadilike!
sasa hapo siatanuka maana joto limesha vivundisha alivyopaka toka nyumbani tena apake vingine bila hata kuoga mbona hatareee
Sio lazima
Hivi unadhani kila unaloongea ni sahihi???Sio lazima lakini mnapoelezwa punguzeni Omo!
Paniki at work
Nipo tayari kukabiliana na nyie ila ukweli nitawaeleza tu!
Si bure......unanyekenywa
Kujipodoaaaa Sio Umalaya aiseeee..Dah
Nimesema kujipodoa hovyo hovyo bila kujali mahali ni dalili za umalaya
Maana dunia nzima malaya ndio ujipodoa hovyo hovyo
Ila sikusema kujipodoa ni umalaya muwe waelewa sio mnarukaruka tu!
Acha tujipodoe wewe waume zetu wanapenda hivyoo
Umalaya wao una kuhusu???au una hamu tu ya kuandika