Wanawake, Mkijipodoa sana mnatutisha... Ebo!

Wanawake, Mkijipodoa sana mnatutisha... Ebo!

<br />
<br />
mmmh!

Kwa kweli huyu jamaa kaenda EXTREME eti bora wasingeumbwa!!!, I am trying to imagine wasingeumbwa ingekuwaje na mizinga yangu hii miwili ya konyagi , du.. sijui usingizi ungepatikana???
 
Kwa kweli huyu jamaa kaenda EXTREME eti bora wasingeumbwa!!!, I am trying to imagine wasingeumbwa ingekuwaje na mizinga yangu hii miwili ya konyagi , du.. sijui usingizi ungepatikana???
<br />
<br />
atakuwa ameongea huku anaona aibu.
 
mwanamke awe kama anavyotaka ili ampate mtu wa aina yake .hana haja kuhangaika kutafuta kufit . Mi napenda simple and confident woman si mjipodoaji saana naona kama atashindwa kutimiza wajibu wake kama kufua nguo kupika na nk
 
Mi namshangaa zaidi mwanaume anayeweza kutoka/kuongozana na mwanamke ambaye amejisiliba kupita kiasi. Sijui inabidi mtu alewe kwanza...


Hahahahahah lol! Miye kuna rangi zile wanajisiliba kwenye macho (siyo kwenye nyusi) halafu wanajisiliba kupita kiasi hata kama mtu unamfahamu unaona noma kuongea naye maana dah! amejisiliba utadhani changu doa!!!! 🙂🙂
 
Ila kweli maana kunasiku nilitaka kucheka bana ila nilijikaza, nilikutana na demu huyo kaweka kope za bandia uso mweupe miguu myeusi inaone kana anafanya marekebisho ya uso anasahau miguu, then hayo mashavu yalivyo mshuka kama pakashume vile, alipo nikaribia anajifanya anaangalia chini ili nione vizuri vikope vyake vya bandia stupid
 
Kweli bwana wengine hata hivyo vipodozi kupaka hawajui, kuna demu nlikutana nae nkahua mpoki ana igiza comedy kumbe ndo kajipodoa anatika, utafikiri mganga wa ki nigeria
 
Tamaa ina changia, binti anajikuta anahitaji nguo nzuri, viatu, hand bag na amechishe kuanzia hereni, nguo, viatu, mkoba mpaka nywele, halafu mtu wenyewe masikini wakati kilasiku anahitaji kubadili nguo ili nae aonekane wa kisasa, cha msingi wanaona bora watafute vizee vya TRA, BOT, ili wawa wezeshe alafu jioni wanatoka na vibwana vyao, we unadhani ukimwi utaisha, mchana na kibwana usiku na kizee cha bandari, wanafunzi fateni vilivyo wapeleka vyuono acheni mambo msiyokua na uwezo nayo.
 
Msichana mzuri hata bila ya vipodozi anavutia. Wengine wanakuwa kama jini.
 
Waache kupoteza muda kujipodoa watengeneza uzuri wa ndani A good heart and moral habit they will win a true man heart unless walevi ndio huwa watawapata ambao huona rangi za lispistcik ni nzuri until morning ndio wanajua wameingia mkenge.
 
Waache kupoteza muda kujipodoa watengeneza uzuri wa ndani A good heart and moral habit they will win a true man heart unless walevi ndio huwa watawapata ambao huona rangi za lispistcik ni nzuri until morning ndio wanajua wameingia mkenge.

Hapo umenena mkuu, mara nyingi wanaume wanaangalia uzuri wa ndani tu........................na hao wanaohangaika kutengeneza uzuri wa nje huwa wanaishia kuchezewea tu, maana sio halisi.................
 
Mimi kama nimi sipendi kabisa hiyo kitu napenda ajipake lotion ya kawaida tu!
 
Hivi na nyie wanaume kwanini mnawafuata hao wanaotisha? Waacheni nao wataacha mara moja!
Na nyie wadada kila kitu fanyeni kwa kiac ona sasa hao mnaowatega wamewakinai, mwanamke jiamini fanya jambo kwa kujifurahisha mwenyewe mwanaume atakutafuta na utapampata wa type yako.
 
Kikweli leo umegusa kunako.... nachukia mnoooo ile mirangi ya mdomoni sura inakosa rangi rasmi mara bluu njano nyekundu ndo nini sasa .... ukiongezea na harufu za mafuta na perfume zinaboaaa sana siwezi kaa na m2 wa hivyo zaidi ya dkk2
 
Utafiti haukuonyesha kwanini hao wanaume wanaogopa. Isijekuwa wanaume wanaogopa gharama.
Kila siku tunasoma hapa, oh Beyonce mweku! mnadhani aliamka hivyo asubuhi!

Kinadada jipodoeni kwa raha zenu ni nature yenu, hapa wengine wanaogopa gharama tu. Go girls go!
 
Home, csta wangu hutumia nusu saa kujilipua usoni, nachomwambiaga ni "Uzur haletwi na make up", kwanza wananukiaga maharufu kibao ukikaa nao seat moja kwny bus akishuka lazima uumwe mafua. JIAMINI KWAMBA U MZURI!
 
Chanzo ni wanaume, mngekuwa hamuwafati waliojikoboa idad isingeongezeka hvo, cku hz km mdada hajajicream haonekani mrembo....cjui twaenda wapi? Nataka kujua je weupe ndio uzuri? Inasikitisha kuona wadada tunajiharibu sura na maumbile just to plz ths stup...dy pathetic men who they'l never appreciate or be satsfied with what we are as everyday they are looking 4 the new taste! WADADA JITAMBUENI, JIKUBALINI NAO WATAFATA MKONDO KWANI HAWANA JINSI YA KU2KWEPA AS THEY NID US MORE THAN WE NID THEM....EVEN GOD KNEW THS...!
 
Utafiti haukuonyesha kwanini hao wanaume wanaogopa. Isijekuwa wanaume wanaogopa gharama.<br />
Kila siku tunasoma hapa, oh Beyonce mweku! mnadhani aliamka hivyo asubuhi! <br />
<br />
Kinadada jipodoeni kwa raha zenu ni nature yenu, hapa wengine wanaogopa gharama tu. Go girls go!
<br />

dhana ya kujipodoa ilikuwa ni wajipodoe kwa poda tu bhana sasa wanajikoboa na makrim yakuua ngozi! Inabidi wabadilike...imagne kila after 2 mita unakutana na mdada kajikoboa afu jua limeusulubu uso umekuwa redish..sa huo urembo au..?
 
Back
Top Bottom