Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,713
Kuna mzee nilikutana nae kwenye basi nikielekea Mwanza kutoka Arusha, katika stori nikajikuta namuuliza yule mzee, nikija kuoa ili ndoa yangu iwe na amani nifanye nini?
Akanijibu kuwa;
Ukija kuoa mjukuu wangu jitahidi kumjali, kumpenda na kumheshimu mke wako na zaidi ya yote mwache awe yeye usitake awe mwanamke unaemfikiria kwenye mawazo yako, ukapelekea kutaka kumbadili.
Utasambaratisha ndoa!!
Akanijibu kuwa;
Ukija kuoa mjukuu wangu jitahidi kumjali, kumpenda na kumheshimu mke wako na zaidi ya yote mwache awe yeye usitake awe mwanamke unaemfikiria kwenye mawazo yako, ukapelekea kutaka kumbadili.
Utasambaratisha ndoa!!