Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,218
Tupo.jf kuna ma bikra humu
Tupo.jf kuna ma bikra humu
labda ya nyumaTupo.
Hayo sasa mashauzi, umepewa tunda unalibania litachacha ! Nakuhurumia maana huyo mume unayemtunzia huko alipo ameshaonja mpaka tigo

Bahati mbaya sana dada siku hizi hakuna mwanaume anatafuta mwanamke bikra wa kuowa. Hakuna. We tunza tu kwa kumheshimu Mungu ila sahau kuhusu sisi wanaume. Binafsi siipendi.....usumbufu wake kumla mwanamke bikra sina hamu nao.Hayo yoote uliyoongea haya husiani na nilichokiandika, maneno kama yako nilishaambiwa sana lkn sikubabaika na bado sitababaika najua ninacho kifanya. na uzuri mwenyewe eggyjay siyo Mungu na wala sijitunza ili nikufurahishe.
Nimefanya hivyo kumuheshimu Mungu na si vinginevyo , huko pm unaposema sina mpango napo ...mwisho nikuhakikishie aliyenisimamia kujitunza mpaka Leo ndiye atakaye nisimamia mpaka ndoa.
Nyuma ya nini?labda ya nyuma
si ndo hapo sasa,,,ataenda na bikra yake lakini mmewe anaweza akachepuka kesho yake tena kwa bar maid,,shitHayo sasa mashauzi, umepewa tunda unalibania litachacha ! Nakuhurumia maana huyo mume unayemtunzia huko alipo ameshaonja mpaka tigo
Hongera kwa kunitunzia bikra sasa umefika wakati wa kuitoaNina 29 sasa
Hili tangazo kabsa wakubwa tunaelewa ana bikira za kukamulia limaokazi unayo...narudia tena bikra hawajitangazi..ibaki siri yako na muumba wakoo..bikra tupo wengi sana ila kimya sababu sio vema kimaadili...
tushaona tangazo lakoo!
wapokee pm dada jua linszama hilo![]()
angalia vizuri thread zako..kwanza kabisa uloanza kutafuta mume...baada ya few months unakuja na thread ameniacha bila sababu..tena mwanaume ulompata humuhumu jf..
na hili pia tangazoo shoga baada ya kuachwa.
watakuja usijali








