Wanawake mabikra tukutane hapa

Hongera sana binti, Bikira.

Kuwa na bikira tu haitoshi.Inabidi uyashinde vishawishi vyote vya kingono hadi pale utakapompata mwenzi wa maisha yako.

Usimtamani yeyote.Ukishamtamani basi hiyo bikira yako inakuwa haina thamani yeyote ile.

Pia kwanini umeuleta uzi wa namna hii jamvini?.Huoni kuwa hii ilibaki kuwa siri yako pekee?.Nina wasiwasi na Hiyo bikra yako (Silazmishi uniaminishe kwa chochote).

All the best.
 
Kwa miaka 29 kuwa na bikira siwezi kukuamini labda nione picha yako. Na sio kwamba nasema hivyo sababu nashobokea hizo bikira, hapana nshawahi kuzitoa kadhaa ni usumbufu tu hamna chochote.
 
Unajizuia vipi unapopata msisimko wa kufanya mapenzi????please don't lie us kwamba husikiagi hamu ya kufanya mapenzi
 
Nasema ukweli, tena ukweli kabsa. Mi sitaki kabsa demu mwenye bikra. Nataka hawa ambao breki ya kwanza pu.mbu [emoji2][emoji1][emoji1][emoji28]
 
niliwahi kutongoza demu mara ya kwanza alinikatalia eti yeye bikira hajawahi..
siku aliyoachia aliniambukiza na kisonono..
kumbe kazoefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…