mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 46,337
- 57,160
Aaaaah bikira wweee[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Umeshupaza shingo kwa jambo lisilo kuhusu , unadhani kila mtu anaishi kwa umalaya kama wewe! Hata hivyo hata ukiita kenge siwezi kubadirika kuwa kenge wala bikra yangu haitoki itabaki ili uendelee kuumia
Haha Ivuga mwenyewe huyoooo anaoaHamna. Nipo tu mbona sema.
Nikiwa sina bando natumiaga 0.freebasics.com
Hapo kuna website kibao unaweza kubrowrse bureee. Na JF ikiwemo.
Kwa hio suala la bundle sio issue.
Some time napunguza kuingia ingia Jf nna vikao vya arusi naoa mwezi wa tisa.
This is non of thy business karuceeVirginity is not something you parade or solicit publicly to the society. Virginity is more than keeping your hymen intact until after marriage.
Virginity is a well guarded secret and a gift to your husband upon marriage.
Now when you hold it like a trophy for the world to see am left to wonder. Are you serious?
Cc
Raimundo
mahondaw
Kwani nikijitangaza wewe kinakuwasha nini .?sawa..kuamini ama kutoamini hainihusu.ukweli anajua mwenyewe.
lakini kwanini anajitangaza hadharani..unajua huyu bibie kuna watu wanamjua hapa jf ila wanamstahi tu?
hivi wewe ngekua na dadako bikra halafu kila atapopita mtaan anajitangaza utsjiskiaje?utamfikiriaje?ni swala linalohitaji usiri..kama vile kiungo chako cha siri unavyokiweka siri yako..nayo bikra iko humohumo ibaki siri na muumba na mume..au anaweza kutangaza uchi wale ukoje..ki**mi chake kina urefu gani kama anavotangaza bikra?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ya wahenga hayo ukiona nyani mzee ujue kakwepa mishale mingi saaana ujanani
Ana miaka 29 tulia bwana
I bet not because you are on another mission.This is non of thy business karucee
Kwani unayosema ya uongo??alishaletaga story humu bwana kamkimbia kwa sababu anamkataliaaaa.Sasa asicheze umri unaenda.hongera mwaya...ila bikra sio ujanja karne ya sasa sababu kuna bikra za kichina..
wengine tulipenda kuwa nazo but mazingira hatarishi yalifanya tuzipoteze..
licha ya kutokuwa nazo tunaolewa na ndoa zenye furaha tele
pia usiishi maisha kwa kukariri...yan fair tales unawaza ""nkiwa bado na bikra yangu..nampata kijana mwenzangu mzurii sana..ananioa..tunaishi raha mustarehe maisha mazur...mme wangu ananipenda sana.....
haiko hivo..unaweza uolewe bikra na ndoa uione chungu..mwanaume kaahakipata alichokifuata na mimba kakubebesha hlf ye yuko nize na vibint vya sekondary....uaikariri shouga.
pia ushauri wa bure kwako..usimwambie mwanaume kwamba wewe ni bikra..
mwanaume yupo tayari kufanya lolote ili aipate..na akishaipata ndo baas!!!
mfanyie surprise.
na wanaume wa kusubir hadi ndoa siku hizi mayb utawapata..watoto wa mjini hawakubali kuuziwa mbuzi ndani ya gunia..
kama hujui muulize nyantumba na bikra yake anavopata tabu
kila la heri katika kujibu pm!
Haaa haaaa haaa.Mie nilivyokuona mtaa huu nikajua nawe bado unayo Best. 🙂🙂🙂
Huna na umeshindwa kupita kimya kimyaUko peke yako mama..Jimwae mwae kwenye uzi wako
Kwani huyo mumeo utamualika wwSijaalika mtu kunifuata pm mkuu
Subir nitakuonyesha miandiko yaoKuna mwandiko wa wenye bikira? [emoji23][emoji23][emoji23]
Ingeleta maana angesema watu wasema walikozipotezea bikira zao Uzi ungejaa pipo lakn wenye bikira kweli anaweza kuwa pekee yakeNinapita tu jamani
Itunze dada!!!Wala siogopi nazije tu ntakabirana
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza
Nawaalika mabikra wote tuliopo MMU tukutane hapa tupeane uzoefu, lengo kubadirishana mbinu zilizotusaidia kuutunza usichana wetu mpaka Leo hii.
Binafsi nilifanikiwa kuutunza usichana wangu kwa kuzingatia maagizo ya wazazi wangu, pamoja na hilo pia nili nia kuto kumkubalia mwanaume yoyote atakaye nitaka kimapenzi.
Changamoto nilizokutana nazo kwa uamuzi huo ni nyingi sana , wasichana wenzangu walinicheka na kuniambia nakosa raha duniani.
wavulana walifka mahali wakawa wana niogopa sana kutokana na majibu yangu.
Nilitengwa ktk mambo kadhaa na walio kuwa rafiki zangu.
Nilionekana kama mwanamke asiye na hisia ...na mengine mengi tu lkn hayakuni yumbisha.
Nafurahia maamuzi yangu sijawahi kuyajutia kamwe.
Na nitaendelea na msimamo wangu mpaka nitakapo funga ndoa...
Karibuni
Sasa mkuu utajuaje kama kweli anayo ama ndo utaenda kupima uone ama hahahahahMimi natoa million moja kwa yeyote mwenye miaka 23 and above na anabikira. Am serious.
Wala sijakuomba ushauri we pita tu,by the way vipi yule mwanaume mliyekuwa mnamgombania nani amefakiwa kumchukua?Lakini nimewai Sikia Eti Bikra inaweza tolewa Na kuendesha pikipiki au kufanya kazi nguvu.Au kuwa Na hasira sana.Sasa umeshajaribu kama imetokaa??mana iliwai tokea kesi kama Iyo kwamba Mbaba wa Watu akajua amepata Bikra kumbe imetoka kwa njia hizo.Aliuliwa yule Dada akihisi amerubuniwa.So take care..Usijitapeee sana sana.
Nahakikisha mwenyeweSasa mkuu utajuaje kama kweli anayo ama ndo utaenda kupima uone ama hahahahah