mama la mama
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 304
- 152
Yaani kwa jinsi wanaume mlivyokua siku hzi unahama chumban kwako unahamia kwa dada hamuon kaz kuzulisha akina dulla kichwa waz nyumba nzima
Habari wandugu..
Nakumbuka miaka ya nyuma familia kuwa na House girl ilikuwa dili sana. Yaani unakuta kila nyumba wana msichana wa kazi (Dada wa kazi) Lakini imekuwa tofauti kwa miaka ya hivi karibuni, tatizo nini?
Mkasa wenyewe ni Hivi
Tulikuwa tunapiga story na baadhi ya wadada/wanawake hapa kazini kwetu. Katika story mbili tatu nikaingizia kuhusu wadada wa kazi basi walianza kutoka povu balaa.
Kila mmoja alimaliza maneno kwa kuwatukana hawa ndugu zetu wanaotusaidia kazi. Nikajiuliza kwa nini miaka hii wadada wa kazi wanakuwa kama maadui zetu?
critical thinker