Unaelewa maana ya neno "ASILIMIA KUBWA"
Na huwa kwa nini inaanikwa bafuni.?Inasahaulika au huwa inaanikwa?
Good question!Asilimia kubwa ni kiasi gani?
Na huwa kwa nini inaanikwa bafuni.?
Baadhi ya watu huona pichu ni vazi lisilotakiwa kuonwa na watuNa huwa kwa nini inaanikwa bafuni.?
Teh itakua asilimia kubwa ya wanawake wameingia bafuni kwakeWe asilimia kubwa ya wanawake ushaingia mabafuni mwao??!!!!
Hofu na mashaka wote mpo salama....
jamn naombeni mawazo yenu na ushauri kwa ujumla kwa hili, mpenz wangu jmni tuna miaka minne tangu tumeanza uhusiano wetu lakini tunagombana kila siku na sababu kubwa ni simu,,,naomba mniambie kumuhuliza mpenz wako kitu ni vibaya?? mfano,,,upo wapi,,unafanya nini,upo na nani,au mbona haujaniaga, au chochote kile unachojua wew...na ukiuliza hivyo tu unaanza kufokewa na majibu ya kibei je ni vibaya maan akisha foka tu mgomvi unaanza sasa naomba mawazo yenu nifanyeje ili penzi liwe na amani na faraja.
Mbona nimeuliza tu..Kwa akili yako unataka nianike kwenye chaga au? Na kama nikianika nje namtangazia nani? Na nyumba c zote zenye uzio hata km kunauzio haipaswi kamwe kuweka pichu nje, je hiyo bafu huaga ina sambazwa pichu za kike tu? Na wakiume wanawekaga wapi? Jitafakarin kidogo.
Asilimia kubwa ya wanawake, akimaliza kuoga atafanya na mambo mengine madogo madogo ikiwa ni pamoja na kujiswafi papuchini halafu baada ya hapo akitoka lazima asahau chupi bafuni.
Ni kwanini mna hili tatizo?
Unaelewa maana ya neno "ASILIMIA KUBWA"
Hofu na mashaka wote mpo salama....
jamn naombeni mawazo yenu na ushauri kwa ujumla kwa hili, mpenz wangu jmni tuna miaka minne tangu tumeanza uhusiano wetu lakini tunagombana kila siku na sababu kubwa ni simu,,,naomba mniambie kumuhuliza mpenz wako kitu ni vibaya?? mfano,,,upo wapi,,unafanya nini,upo na nani,au mbona haujaniaga, au chochote kile unachojua wew...na ukiuliza hivyo tu unaanza kufokewa na majibu ya kibei je ni vibaya maan akisha foka tu mgomvi unaanza sasa naomba mawazo yenu nifanyeje ili penzi liwe na amani na faraja.