Wanawake, kwanini mnapenda kusahau chupi bafuni?

Wanawake, kwanini mnapenda kusahau chupi bafuni?

Hofu na mashaka wote mpo salama....
jamn naombeni mawazo yenu na ushauri kwa ujumla kwa hili, mpenz wangu jmni tuna miaka minne tangu tumeanza uhusiano wetu lakini tunagombana kila siku na sababu kubwa ni simu,,,naomba mniambie kumuhuliza mpenz wako kitu ni vibaya?? mfano,,,upo wapi,,unafanya nini,upo na nani,au mbona haujaniaga, au chochote kile unachojua wew...na ukiuliza hivyo tu unaanza kufokewa na majibu ya kibei je ni vibaya maan akisha foka tu mgomvi unaanza sasa naomba mawazo yenu nifanyeje ili penzi liwe na amani na faraja.[/QUOTE

Hayo ni maswali ya kawaida kwa wapenzi na yanajibika bila ugomvi.
Ukiona mpenzi anakwazika, ujue tayari anamchepuko na soon utabwagwa kwa kosa la hayo maswali.
 
Hofu na mashaka wote mpo salama....
jamn naombeni mawazo yenu na ushauri kwa ujumla kwa hili, mpenz wangu jmni tuna miaka minne tangu tumeanza uhusiano wetu lakini tunagombana kila siku na sababu kubwa ni simu,,,naomba mniambie kumuhuliza mpenz wako kitu ni vibaya?? mfano,,,upo wapi,,unafanya nini,upo na nani,au mbona haujaniaga, au chochote kile unachojua wew...na ukiuliza hivyo tu unaanza kufokewa na majibu ya kibei je ni vibaya maan akisha foka tu mgomvi unaanza sasa naomba mawazo yenu nifanyeje ili penzi liwe na amani na faraja.
mpige chini mpaka atakapo jua umuhimu wa kuwa na mwenza
 
Hofu na mashaka wote mpo salama....
jamn naombeni mawazo yenu na ushauri kwa ujumla kwa hili, mpenz wangu jmni tuna miaka minne tangu tumeanza uhusiano wetu lakini tunagombana kila siku na sababu kubwa ni simu,,,naomba mniambie kumuhuliza mpenz wako kitu ni vibaya?? mfano,,,upo wapi,,unafanya nini,upo na nani,au mbona haujaniaga, au chochote kile unachojua wew...na ukiuliza hivyo tu unaanza kufokewa na majibu ya kibei je ni vibaya maan akisha foka tu mgomvi unaanza sasa naomba mawazo yenu nifanyeje ili penzi liwe na amani na faraja.[/QUOTE

Hayo ni maswali ya kawaida kwa wapenzi na yanajibika bila ugomvi.
Ukiona mpenzi anakwazika, ujue tayari anamchepuko na soon utabwagwa kwa kosa la hayo maswali.

Asantee saana maana anasingizia kwamba nakuwa kama simuamini ndo maana anahisi kama namfatilia
 
Baadhi ya watu huona pichu ni vazi lisilotakiwa kuonwa na watu
hivo wanaamua kuanika bafuni

Mbona wanapokuwa wanasagula sagula masokoni wanadiriki hata kujijaribisha viunoni laivu laivu
 
Asilimia kubwa ya wanawake, akimaliza kuoga atafanya na mambo mengine madogo madogo ikiwa ni pamoja na kujiswafi papuchini halafu baada ya hapo akitoka lazima asahau chupi bafuni.

Ni kwanini mna hili tatizo?

Sie kuna mmoja alikuwa secretary wetu yy alikuwa akienda kujisaidia lazima aache chupi kwny sink la kunawia mikono. Wamama wenzie wakajitahidi kuongea naye lkn wapi kisingizio anasema hajazoea kuvaa chupi hivyo siku akivaa ni rahisi kusahau. Mie ikawa nikizikuta nazitrash lkn wapi. Kiboko kuna siku akaacha pad chafu juu ya sink watu wakaanza kumuhisi ni mshirikina
 
Navyojua mimi ni wanazifua alafu wanazianika bafuni.
 
Navyojua mimi ni wanazifua alafu wanazianika bafuni.
Huo ni chafu tu kwn kl kitu kinatakiwa kukaa sehemu yake
 
Mbona wanapokuwa wanasagula sagula masokoni wanadiriki hata kujijaribisha viunoni laivu laivu
Pale inakua bado hujaimiliki teh ukishaivaa ndo unakua mmiliki halali na hauioneshi tena
 
Hofu na mashaka wote mpo salama....
jamn naombeni mawazo yenu na ushauri kwa ujumla kwa hili, mpenz wangu jmni tuna miaka minne tangu tumeanza uhusiano wetu lakini tunagombana kila siku na sababu kubwa ni simu,,,naomba mniambie kumuhuliza mpenz wako kitu ni vibaya?? mfano,,,upo wapi,,unafanya nini,upo na nani,au mbona haujaniaga, au chochote kile unachojua wew...na ukiuliza hivyo tu unaanza kufokewa na majibu ya kibei je ni vibaya maan akisha foka tu mgomvi unaanza sasa naomba mawazo yenu nifanyeje ili penzi liwe na amani na faraja.
Jibu ni rahisi sana, acha ngono, oa.
 
Back
Top Bottom