Wanawake, kwanini mnaacha vitu vyenu mkitutembelea?

Analetwa vizuri na ushahidi wako uchwara, kuna mmoja aliacha vitu nika vificha nika sahau udongo uliokuwa mezani nilishangaa naulizwa na aliyekuja siku hizi unakulaga udongooo . Mpaka sasa ananiulizaga bado unakulaga udongooo,
Hahaa na sasa tumejifunza, tutakua tunaweka sehemu ambayo wewe hautaona hadi huyo mgeni mwingine ili akukamate na ushahidi, umeacha kula udongo?😀😀
 
Sisi wanaume akili zetu sometime ni chenga, wewe gheto lako huwezi lifanya kama guest kila dem unampeleka tu. Nyumba yako ama chumba chako mpeleke mtu ulie na malengo nae Mnajaza mikosi tu kwanza ni ujinga kabisa huo. Hawa wa piga ilale ni kumalizana nao guest huko. Mnakaribisha na mikosi majumbani mwenu bila kujua.
 
Sisi wanaume akili zetu sometime ni chenga ww gheto lako huwezi lifanya km guest kila dem unampeleka tu.Nyumba yako ama chumba chako mpeleke mtu ulie na malengo nae Mnajaza mikosi tu kwanza ni ujinga kabisa huo.Hawa wa piga ilale ni kumalizana nao guest huko.Mnakaribisha na mikosi majumbani mwenu bila kujua.
Kabla ya kutoa povu umeelewa topic? Huyo maalum anayekuja kuna vitu kaacha au?
 
Mie naendaga kwa Wifi enu nilimpangia huko. Kuna vitu vyangu nimeviset najua akija baharia mwingine lazima vihamishwe.

Kuna Suti zangu nimezitundika sehemu na juu kabatini nimeweka beg (briefcase) sasa nikienda huwa nakagua vumbi. Nikikuta hakuna Alama za vidole kwenye vumbi najua hakuna ngedere aliyekuja.

Na naendaga bila taarifa.
Mkuu umetisha na mbinu za kijasusi!
 
Back
Top Bottom