Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 1,826
- 2,843
Aliyesema tuishi na mwanamke kwa akili hakukosea, Hawa viumbe wana mbinu nyingi za kivita Leo nawaletea hii moja iko hivii
Kuna mbinu imezuka mtu anakutembelea akitoka anaacha chochote, Hereni /khanga /Kyupi 😀😀
JAMAA YANGU ALALAMIKA, baada ya kuzagamuana na mrembo X, hakujua Kama aliacha hereni zake ndani kwake! Siku alivyokuja "main mazahausi tubii" akaanza kufanya usafi, timbwili likaanza. Alikutwa na ushahidi 😀😀😀
MIMI NILIKOSWAKOSWA, siku moja nilishangaa kukuta nguo isiyo yangu, kwenye kabati nikashangaa! Kumuuliza mhusika anasema kwani kuna shida?
AU ni njia ya ulinzi kwamba Y akiacha vitu vyake hategemei, mwanaume wake kuja na mwingine?
Eti ladies wa MMU mnaacha kwanini vitu mkitutembelea?mnavisahau au vipi? 😀 mshawahi kusikia hilo? Na wazee wa masihara mshawahi kuachiwa vitu
Kuna mbinu imezuka mtu anakutembelea akitoka anaacha chochote, Hereni /khanga /Kyupi 😀😀
JAMAA YANGU ALALAMIKA, baada ya kuzagamuana na mrembo X, hakujua Kama aliacha hereni zake ndani kwake! Siku alivyokuja "main mazahausi tubii" akaanza kufanya usafi, timbwili likaanza. Alikutwa na ushahidi 😀😀😀
MIMI NILIKOSWAKOSWA, siku moja nilishangaa kukuta nguo isiyo yangu, kwenye kabati nikashangaa! Kumuuliza mhusika anasema kwani kuna shida?
AU ni njia ya ulinzi kwamba Y akiacha vitu vyake hategemei, mwanaume wake kuja na mwingine?
Eti ladies wa MMU mnaacha kwanini vitu mkitutembelea?mnavisahau au vipi? 😀 mshawahi kusikia hilo? Na wazee wa masihara mshawahi kuachiwa vitu