Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,037
- 71,271
Huyu ndugu yangu ambaye kwangu ni kaka, alikapata kadem kakiwa kidato cha nne kakawa kamefaulu ushindi wa kukapeleka vyuo vya kati.
Jamaa akafanya mpango, akakatafutia shule ya private, kidato cha tano mpaka sita, huku akikalipia ada, na mazaga zaga kama yote kakafaulu nakuingia chuo kikuu.
Jamaa akatambulisha kale kadem kwa akina familia zetu na ukoo kwa ujumla. Demu akaingia chuo kikuu fulani hapa nchini kwa bahati mbaya hata mkopo akakoswa. Jamaa akaendelea kulipa ada, na gharama zoteeee kwa huyu mke mtarajiwa
Mwaka jana, mwezi 8 tukaenda kutoa kishika uchumba kwao na mwanamke! Kumbe demu alivyokua pale chuo, akaanzisha mahusiano mapya na mkufunzi wake
ndugu zangu, juzi ,juzi juzi hiii ya jumatano, huyu mkufunzi kaenda kutoa mahali kimya kimya kwao na demu na wameipokea milioni 2.
Hata sisi kujua, tumejua kwa bahati bahati tu maana walitaka iwe siri. Kwa kuzingatia muda na pesa alotumia kama sehemu ya uchumba huyu kaka yetu
Ushauri wenu hapa, utasaidia lakini ushauri wenu uegemee mambo mawili tu
1- Kisheria, unawezaje kupata fidia? Maana miaka mitano sio mchezo
2 - Ni adhabu ya kijadi/kiganga tumpe huyu mbwa? (Binafsi niliwaza tumfanye awe malaya kwelikweli au tumpe mkosi ambao hatokaa kupata mume)
Haiwezekan awafadhaishe sana wazazi wetu, na kutia aibu. Unyama unyama, haki ni mbinguni.
Mrejesho nitawaletea!
Jamaa akafanya mpango, akakatafutia shule ya private, kidato cha tano mpaka sita, huku akikalipia ada, na mazaga zaga kama yote kakafaulu nakuingia chuo kikuu.
Jamaa akatambulisha kale kadem kwa akina familia zetu na ukoo kwa ujumla. Demu akaingia chuo kikuu fulani hapa nchini kwa bahati mbaya hata mkopo akakoswa. Jamaa akaendelea kulipa ada, na gharama zoteeee kwa huyu mke mtarajiwa
Mwaka jana, mwezi 8 tukaenda kutoa kishika uchumba kwao na mwanamke! Kumbe demu alivyokua pale chuo, akaanzisha mahusiano mapya na mkufunzi wake
ndugu zangu, juzi ,juzi juzi hiii ya jumatano, huyu mkufunzi kaenda kutoa mahali kimya kimya kwao na demu na wameipokea milioni 2.
Hata sisi kujua, tumejua kwa bahati bahati tu maana walitaka iwe siri. Kwa kuzingatia muda na pesa alotumia kama sehemu ya uchumba huyu kaka yetu
Ushauri wenu hapa, utasaidia lakini ushauri wenu uegemee mambo mawili tu
1- Kisheria, unawezaje kupata fidia? Maana miaka mitano sio mchezo
2 - Ni adhabu ya kijadi/kiganga tumpe huyu mbwa? (Binafsi niliwaza tumfanye awe malaya kwelikweli au tumpe mkosi ambao hatokaa kupata mume)
Haiwezekan awafadhaishe sana wazazi wetu, na kutia aibu. Unyama unyama, haki ni mbinguni.
Mrejesho nitawaletea!