OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,127
- 24,063
Mkuu suala la mwanamke kuliwa nje ya ndoa yake wewe lisikie tu ..usiombe likukute. Suala ya maumivu eti kwa sababu na wewe unachepuka siyo maamuzi sahihi kwenda kugawa mbususu kwa njemba ingine hiyo ni mbaya zaidi maana yeye mkeo anaenda ingia ingiliwa sehemu ambayo wewe mume wa ndoa unaingia. ..imagine utapata mzuka tena wa kuishi naye?? Sema now days ni mambo ya kawaida sana hayomwanaume kaumbiwa wanawake wangapi ndipo atosheke!!!acheni kutafuta kichaka bana.
mimi ni mwanaume,nachepuka,lengo ni kwamba siku yakinifika niwe tayari kuyachukua.
mnakula mpaka watoto wa shule,mnaacha wake zenu ndani wanajiuguza mapenzi,wakichomoka tu mnawasindikiza na kadi nyekundu,sio fare.