KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,649
- 6,088
Boflo, siku hizi kuna nguvu nyingi sana. Kuna nguvu ya umma na nyingine ni nguvu ya uke, hii ni kiboko. Kenya nguvu ya uke imesababisha midume iwe inapokea kipondo daily, Kahama kuna mtu kajiua, kuikwepa nguvu ya uke.
Maswali yako haya yatasababisha ukutane na nguvu ya uke kutoka kwa wadada wa JF.
Mi simo, au unajidai kuwasahau wale madume waliobakwa Zimbabwe na wale wadada wenye nguvu za uke?
Bujibuji, nguvu ya uke lol? Yaani nimecheeka sana.
Ndo haki sawa kwa wote tena, mtafanyaje? Ila Boflo namwaminia ktka kujibu hoja, tutacompromise nae tu.