kali linux
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,299
- 6,102
Kwenye kipindi cha "Leo Tena" clouds dr Mwaka kasema kwamba kuna mda analala na wake zake wote chumba kimoja.
Wake zake wameonesha kupendana kweli japo kwa kawaida wake wenza huwa wana visa vya mara kwa mara. Wake hao wameonekana wakicheza studio na kukumbatiana kisha kumbusu mme wao (dr Mwaka).
Jamani wanawake msiwe mnachukia tunapowaongezea wenza bali mfurahie na hata ikibidi muwe kabisa mnatushauri tuwaongezee yupi
~Peace
Kali Linux
Wake zake wameonesha kupendana kweli japo kwa kawaida wake wenza huwa wana visa vya mara kwa mara. Wake hao wameonekana wakicheza studio na kukumbatiana kisha kumbusu mme wao (dr Mwaka).
Jamani wanawake msiwe mnachukia tunapowaongezea wenza bali mfurahie na hata ikibidi muwe kabisa mnatushauri tuwaongezee yupi
~Peace
Kali Linux
