fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,878
- 24,490
Mkuu nadhani mawazo yetu kama yanataka kuendana. Tatizo pressure ya wazazi na mashangazi sasa dahNdo maana mm sioi maana nawajua
Mkuu nadhani mawazo yetu kama yanataka kuendana. Tatizo pressure ya wazazi na mashangazi sasa dahNdo maana mm sioi maana nawajua
Siku sema wote bali nimesema baadhi! Au wataka uniambie nimeleta hapa kwa lengo gani hasa?You call yourself God's Believer, why not call people into the Light rather than have them believe there is the power of darkness that engulfs men through women?
Bandiko lako sio sahihi. As God's Believer you may have done more harm than good. Trying to imply that all kids who lost their Dad's was as a result of their Mother's evil deeds is not right at all.
Just because you grew up in a tiny village where such things happen does not mean the entire world does that so stop painting such a bad image of widows. Binafsi story hizi niliwahigi kusikia tu eti ni za Uchaggani.
Ifike mahali tuzidi kumuamini Mungu kwa kudra zake. Ambacho Mungu hajakuandikia hakitakufikia.
What happened to our belief in God?
NIliwahi kukuambia uachane na hiyo belief mkuu au mpaka ukutane na hayo mambo ndio utaamini?Mahusiano ni kitu cha ajabu saana, mi sometime nawaza kuoa ndugu yangu kidogo atakuwa na huruma kwani jini likujualo halikuli likakwisha tofauti na mwanamke ambaye hamna nasaba nae hana cha kupoteza anapotaka kukuua hafikirii mara mbili lkn ndugu kutakuwa na uzito flan hv kwani Damu nzito kuliko maji
Mkabidhu maisha yako MUNGU mkuu hii dunia mbaya sana.Kwahio suluhisho ni nini? Au nioe wake wawili ili badala ya kuniroga warogane wao kwa wao?
Oa mkuu,inawezekana ukampata mwenye mali kukuzidi ukasalimika...Ndo maana mm sioi maana nawajua
Belief ipi mkuu ya kuoa ndugu au kutokuoa kabisa?NIliwahi kukuambia uachane na hiyo belief mkuu au mpaka ukutane na hayo mambo ndio utaamini?
Mh! Hivi kuna mwanamke wenye sifa zote hizo?ulizotaja?Hakuna Mwanamke mwenye akili nzuri na Upendo kwa mumewe na watoto anayefanya hivyo.
Kombora limeangukia ikulu hilininamaana umepiga penyewe naona watu wanaweweseka huk. Juhudi za kuniua zinaendelea...lakini...You call yourself God's Believer, why not call people into the Light rather than have them believe there is the power of darkness that engulfs men through women?
Bandiko lako sio sahihi. As God's Believer you may have done more harm than good. Trying to imply that all kids who lost their Dad's was as a result of their Mother's evil deeds is not right at all.
Just because you grew up in a tiny village where such things happen does not mean the entire world does that so stop painting such a bad image of widows. Binafsi story hizi niliwahigi kusikia tu eti ni za Uchaggani.
Ifike mahali tuzidi kumuamini Mungu kwa kudra zake. Ambacho Mungu hajakuandikia hakitakufikia.
What happened to our belief in God?
Sasa shida zote hizo za nn si ni bora usioe tu au?Inatakiwa kila baada ya miezi sita uende kwa mtaalamu au fundi ukamfanyie uchunguzi anapanga nini juu yako,
kwa nyie mnaeamini elimu ya kizungu sijui damu ya yesu yatosha au allah atakunusuru,hao wamekupa akili?
Mnakumbuka wengine wanauliwa kwa kuwekewa sumu kwenye vipaza sauti vya kusemea na mifano ipo?
Binadamu haaminiki wala hana dhamana.
Si kauli nzuri hii mkuu !Kumbe ndo maana wanashauri uogope kuoa kwenye familia inayolelewa na mama pekee! Here we go. Singo mamas wameguswa tena
Unawanyamazisha kwa kuwaletea copy zako kama mbili hiviMkuu nadhani mawazo yetu kama yanataka kuendana. Tatizo pressure ya wazazi na mashangazi sasa dah
True Amani na maendeleo ya Mme utegemea utulivu wa mke.Mwanamke ata asipokuendea kwa mganga
Akiamua kukuvuruga hapo ndani ata ushirikina hauoni ndani..kila siku utaona dunia imesimama!
[emoji23] inaonekana una mabinamu wengi kweliMahusiano ni kitu cha ajabu saana, mi sometime nawaza kuoa ndugu yangu kidogo atakuwa na huruma kwani jini likujualo halikuli likakwisha tofauti na mwanamke ambaye hamna nasaba nae hana cha kupoteza anapotaka kukuua hafikirii mara mbili lkn ndugu kutakuwa na uzito flan hv kwani Damu nzito kuliko maji
I know though sometimes inatokea. Si kwa wote lakiniSi kauli nzuri hii mkuu !
Hii ni kwa wanawake wasokua na shule kichwan na wasokua naelim ya din