DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,912
Mpaka wa leo hii sijajua wadada huwa wanapendelea nini haswa katika mahusiano unaweza ukawa na kila kitu cha thamani wakakukimbia unaweza ukawa kapuku bado tena wakakukimbia dah.
Naomba nitajie hizo kanuni za Mungu.Huwa inakuwa hivyo kwa sababu MUNGU anafata kanuni zake. Tatizo litatatuliwa iwapo kanuni zote za MUNGU zitakua applied otherwise ni kusugua mpaka ujifunze.
Sheria zake kwa mfano amri kumi za MUNGU, amri juu ya namna ya kuhukumu watu kulingana na makosa yao, zaka, mzaliwa wa kwanza, maungamo ya dhambi, utaratibu wa mume na mke kuishi, talaka, kuwaheshimu wazazi, viongozi n.kNaomba nitajie hizo kanuni za Mungu.
Sina tatizo binafsi ila nina tatizo na 'Watu wa Mungu' kucomplicate mambo. Nilijua tu utanijia na A Quadratic Equation kama jibu la swali langu.Sheria zake kwa mfano amri kumi za MUNGU, amri juu ya namna ya kuhukumu watu kulingana na makosa yao, zaka, mzaliwa wa kwanza, maungamo ya dhambi, utaratibu wa mume na mke kuishi, talaka, kuwaheshimu wazazi, viongozi n.k
Kwa kifupi kila kitu kina taratibu/kanuni yake labda kama una tatizo uliweke hapa tulitatue.
Acha kutisha watu, Mungu alieleta ndoa sio mpuuzi.Sijui kwa nini nimeoa.
Mamboz...
Pouwa Valentina kipenzi. Upo?
Missed you saaana
Haha nishalifanya hili, mpaka sasa kuna kopi moja hahaUnawanyamazisha kwa kuwaletea copy zako kama mbili hivi