Wanawake huua waume zao ili warithi mali

Wanawake huua waume zao ili warithi mali

God'sBeliever

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2015
Posts
5,788
Reaction score
3,062
Katika pita pita zangu nikasikia hizi habari eti kuwa wanawake wengi huua waume zao ili warithi mali na utajiri wa marehemu.

Hili si jambo geni vichwani mwa watu labda wale watoto wanaokua ila sasa jambo hili hufanyika kwa usiri mkubwa na imani ya kishirikina huhusika sana au mwanamke humfanyia vitimbi mumewe ili kummaliza polpole kwa presha na msongo wa mawazo.

Wanawake hufanya visa/viitimbwi kama koroga, kugawa uroga nje, kulalamika anaonewa,kumnyima unyumba mumewe, kumtengenezea baba chuki kwa watoto na kufanya michezo mingine miovu ili kumtanguliza mumewe chini.

Huu ni sehemu ya mikasa wangu nilioshuhudia na mingine niliyoona ni mama kuuwa watoto wake ili kijipatia mali. Kwa upande wa akina baba mambo yapo ila machache ukilinganisha na wanawake. Wanawake wamekua wakiongoza kwa hili pia kwenda kwa waganga…

Kwa hiyi ndugu zangu mkiona nyumba nyingi uswahilini na vijijini hazina baba fikirini mara mbili. Tunawapenda sana wanawake ila hili tuwaambie ukweli tuu waache maovu MUNGU hapendi na atawadhibu kwa matendo yao si muda mrefu.
 
Last edited by a moderator:
Very true, pia kuna sumu ya taratibu huwekwa kwenye Chai unaondoka na ishu ya tatizo La ini, huku unauguzwa kwa upendo Mkubwa kumbe u marehemu mtarajiwa,kuwa masikini shida kuwa tajiri shida pia.
 
hya uliyosema mtoa mada ukiwa na miaka chini ya 30 ki umri huwezi jua na kuyaamini. Vifo vingi vya waume ni vya kutengeneza. Wakati ninaoa mwaka 2010. Baba aliniusia kuwa nimepata rafiki wa kudumu na nimetengeneza adui wa kudum. Mara nyingi mke ukifanikiwa anageuka kuwa adui
 
Inatakiwa kila baada ya miezi sita uende kwa mtaalamu au fundi ukamfanyie uchunguzi anapanga nini juu yako,
kwa nyie mnaeamini elimu ya kizungu sijui damu ya yesu yatosha au allah atakunusuru,hao wamekupa akili?
Mnakumbuka wengine wanauliwa kwa kuwekewa sumu kwenye vipaza sauti vya kusemea na mifano ipo?
Binadamu haaminiki wala hana dhamana.
 
You call yourself God's Believer, why not call people into the Light rather than have them believe there is the power of darkness that engulfs men through women?

Bandiko lako sio sahihi. As God's Believer you may have done more harm than good. Trying to imply that all kids who lost their Dad's was as a result of their Mother's evil deeds is not right at all.

Just because you grew up in a tiny village where such things happen does not mean the entire world does that so stop painting such a bad image of widows. Binafsi story hizi niliwahigi kusikia tu eti ni za Uchaggani.

Ifike mahali tuzidi kumuamini Mungu kwa kudra zake. Ambacho Mungu hajakuandikia hakitakufikia.

What happened to our belief in God?
 
You call yourself God's Believer, why not call people into the Light rather than have them believe there is the power of darkness that engulfs men through women?

Bandiko lako sio sahihi. As God's Believer you may have done more harm than good. Trying to imply that all kids who lost their Dad's was as a result of their Mother's evil deeds is not right at all.

Just because you grew up in a tiny village where such things happen does not mean the entire world does that so stop painting such a bad image of widows. Binafsi story hizi niliwahigi kusikia tu eti ni za Uchaggani.

Ifike mahali tuzidi kumuamini Mungu kwa kudra zake. Ambacho Mungu hajakuandikia hakitakufikia.

What happened to our belief in God?
Yeye anatoa into kwamba kuna vifo vingi ambavyo ni man/woman made

Pia inawezekana haujakuwa mdadisi vya kutosha kupata undani was vifo vingi. Waganga wana wateja wa kutoka jamii zote(lower,middle,upper income).

MTU kakorofishana na mumewe ,anaenda omba ushauri kwa shosti wake saloon.
"Aaah mbona hilo tatizo dogo,kuna mtaalam yuko Kiwangwa,ukiwa tayari nikupeleke,andaa elfu hamsini. Mume wa Shadya alikuwa analeta fyoko fyoko tukamuendea Kwa huyo mtaalam,chaliii"

Uchawi upo na unafanya kazi na waganga wa ukweli na makanjanja wapo. Watumishi wa Mungu wa ukweli na makanjanja wapo. Ni wewe kuamua.
 
Back
Top Bottom