Kunta Kinte
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 3,688
- 1,283
- tIGO?
Baba Enock na wewe mtumiaji?
- tIGO?
UPO SAHIHI!lakini mkuu tatizo la wanawake ni kwamba hawataki kuumizwa,au kuteseka moyoni kwa jambo lolote la kimahusiano.ndio maana wanaona bora umdanganye ili ASIUMIE!
na siku zote wanawake huwa wanapenda KUTONGOZWA MARA KWA MARA!ndo maana MAPLAY-BOY huwa wanawawin sana wanawake.so mkubwa kama utabahatika kuoa uwe unamtongoza waifu MARA KWA MARA!au vp?
Mwanaume anayecheat.
Nchi gani mkuu?kuna nchi kama mwanamme hucheat basi manzi anadai talaka.
Yo Yo hicho ki-Avatar chako nilifikiri ni mdudu yuko kwenye laptonga yangu nimempiga nisura niivunje kumbe yuko kwa ndani lolWewe hupendi hela?
Mwanamke hapendi umwambie ukweli.........ukisema ukweli tu juu yake umemkosa.
Mwanamke ni mtu wa kupendwa kudanganywa kama mtoto mdogo.......hapo sawa.
Mwanamke hapendi umwambie ukweli.........ukisema ukweli tu juu yake umemkosa.
Mwanamke ni mtu wa kupendwa kudanganywa kama mtoto mdogo.......hapo sawa.
Ili kuboresha mahusiano kati ya wanawake na wanaume, na wanawake kwa wanawake wenzao;tukumbushane mambo gani ambayo wanawake hawapendi. 1, 2, 3, ........