Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,006
- 12,267
Moja kwa moja kwenye uzi.
Kama kichwa cha uzi kinavyosema" wanawake hawapendi ndoa" ndio hii inaweza kukushangaza lakini ndio ukweli.
Wanawake hawapendi ndoa kabisa tena hiki kizazi cha sasa ndio hakipendi ndoa kwa kiwango kikubwa kuzidi cha zamani kidogo.
Wanawake wanapenda hivi vitu vifuatavyo:-
i, Pete ya kuringishia marafiki zake na wale anao fahamiana nao.
ii, Wanawake wanapenda harusi( sherehe basi)
iii, Wanawake wanapenda mtaani kwao wajue anaolewa
iv, Wanawake wanapenda kulelewa
v, Wanawake wanapenda michango ya maharusi nao iwapitie kama ilivyo wapitia wenzao
Wanawake wamechoka aibu na masimango lakini hawapendi ndoa.
Kama kichwa cha uzi kinavyosema" wanawake hawapendi ndoa" ndio hii inaweza kukushangaza lakini ndio ukweli.
Wanawake hawapendi ndoa kabisa tena hiki kizazi cha sasa ndio hakipendi ndoa kwa kiwango kikubwa kuzidi cha zamani kidogo.
Wanawake wanapenda hivi vitu vifuatavyo:-
i, Pete ya kuringishia marafiki zake na wale anao fahamiana nao.
ii, Wanawake wanapenda harusi( sherehe basi)
iii, Wanawake wanapenda mtaani kwao wajue anaolewa
iv, Wanawake wanapenda kulelewa
v, Wanawake wanapenda michango ya maharusi nao iwapitie kama ilivyo wapitia wenzao
Wanawake wamechoka aibu na masimango lakini hawapendi ndoa.