jem_the_great
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 289
- 159
ha haaaa, I can attest thatKuna mtu ali hijack pasiwedi, not me kabisaa.
Ukiwaza kuwa hata uvae ndomu 100, kuifikisha miaka 100 ni ndoto? Bora kula live bila chenga:A S-eek::cool2:
Ni kweli kabisa, wanawake wengi sana mawazo ya kondomu huwa hawana na hii haijalishi ni mwanamke wa aina gani hata prof, doctor na wengine... sijui nini huwa kinawakuta ktk hali hiyo!! au akili huwa inawaruka?
Bila mwanaume kujiongeza yeye wala hata ahangaiki.
Mleta mada kama unafikiri kondom inazuia Ukimwi, unajidanganya. Swala la Ukimwi ni kumuomba tu Mungu akuepushe na maambukizi.
Ukimwi unaambukizwa kwa kuzoeana, unampata mpenzi leo, mtatumia ndom kwa miezi 3 mwezi wa 6 mnaachana na matumizi ya ndom mnacheza peku, baada ya miezi 2 mnakorofishana, kila mmoja anatafuta mpenzi mwingine, halafu anafanya kama alivyofanya mwanzo. Hivi ndivyo Ukimwi unavyoambukizwa.
Njia nyingine ya kupata maambukizi ni mpaka ukutane na aliye athirika, ingekuwa kucheza peku ndo kigezo kikuu cha maambukizi basi kila mtu mzima angekuwa ameathirika, kwani hakuna mtu ambaye hajawahi kucheza peku.
Mwisho, kuna sisi wabinafsi wa kungonoka, tunamuandaa mwanamke kwa muda mrefu, ukiingia kati akili, mawazo na nguvu zote ni kwenye tendo, ndani ya dakika 2 tu mchezo umekwisha na hakuna tena kurudia mpaka siku nyingine.
Angalizo: hii ya mwisho ni mpaka uwe unajielewa kifedha. Vinginevyo utaachwa mpaka basi.
Za kupotea?ha haaaa, I can attest that
Wife umesema????
kondomu ni jezi ya wazinzi acha kuisifia hapa kimtindo...
Tuliza mshedede wako huo ndani ya suruali...
ha haaaa, wewe kweli kongosho, lol!Za kupotea?
Msome FP hapo juu, pasiwedi iliibiwa kwa dakika kadhaa. Ila ndo hivyo, read btn the legs, viukwimwi vyenywe vidogoo, havionekani hata kwa macho ndio vitusumbue?
kondomu ni jezi ya wazinzi acha kuisifia hapa kimtindo...
Tuliza mshedede wako huo ndani ya suruali...
Ukimwi unaambukizwa kwa kuzoeana, unampata mpenzi leo, mtatumia ndom kwa miezi 3 mwezi wa 6 mnaachana na matumizi ya ndom mnacheza peku, baada ya miezi 2 mnakorofishana, kila mmoja anatafuta mpenzi mwingine, halafu anafanya kama alivyofanya mwanzo. Hivi ndivyo Ukimwi unavyoambukizwa.
Njia nyingine ya kupata maambukizi ni mpaka ukutane na aliye athirika, ingekuwa kucheza peku ndo kigezo kikuu cha maambukizi basi kila mtu mzima angekuwa ameathirika, kwani hakuna mtu ambaye hajawahi kucheza peku..
Mwisho, kuna sisi wabinafsi wa kungonoka, tunamuandaa mwanamke kwa muda mrefu, ukiingia kati akili, mawazo na nguvu zote ni kwenye tendo, ndani ya dakika 2 tu mchezo umekwisha na hakuna tena kurudia mpaka siku nyingine.
Angalizo: hii ya mwisho ni mpaka uwe unajielewa kifedha. Vinginevyo utaachwa mpaka basi.
Afu unakuta wengi wao wanasema mie ninapenda kugegedana bila kondomu kwa kuwa nikitumia inanichubua
ha haaaa, wewe kweli kongosho, lol!
Mimi muzima wa afya, hofu kwako my dear
uenda ni kweli usemayo