Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 26,643
- 38,258
Inasikitisha sana kuona kwamba unamtongoza mdada na akili zake, na heshima zake, lakini mkifika kunako mchezoni, hadi mnakaribia kufanya tendo lenyewe yeye ana kuangalia tu.
Hakumbushii mambo ya matumizi ya condom wala kanakwamba suala la matumizi ya condom ni jukumu la mwanaume tu.
Hii tabia ya wadada kuwaachia wanaume waamue kama watumie kinga au la, inatokana na nini hasa?
Je, ni kuwaamini sana wanaume au ni kutokuogopa magonjwa, ikiwemo UKIMWI?
Hakumbushii mambo ya matumizi ya condom wala kanakwamba suala la matumizi ya condom ni jukumu la mwanaume tu.
Hii tabia ya wadada kuwaachia wanaume waamue kama watumie kinga au la, inatokana na nini hasa?
Je, ni kuwaamini sana wanaume au ni kutokuogopa magonjwa, ikiwemo UKIMWI?