Wanawake hawanipendi

Yaani unataka mwenzio akachukue bongo movie slay queen? Wale ni pesa tu
 
Aisee jamaa anatupiga fix kinoma. Eti wanawake wanavutiwa na haiba yako na sio pesa zako🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ebu Kelsea njoo umwambie jamaa raha ya kidate na kidume ugly but kina pesa😂😂😂😂
 


Can this be true? Kuna kipindi Nipo mdogo bibi yangu alinipiga na kanga wakati kimila kijana wa kiume akipigwa na kanga ni kwamba hata oa….can this relates to what I am going through ?
 
Sasa kama pesa inakuwezesha kukojoleaa pazuri kwa nini usitumie
Sikatai. Ila huyu mwenzetu hapati mwanamke yoyote yaani na akipata mara moja wanadisapper.
Anataka kujua tatizo ni nini
 
Aisee jamaa anatupiga fix kinoma. Eti wanawake wanavutiwa na haiba yako na sio pesa zako🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ebu Kelsea njoo umwambie jamaa raha ya kidate na kidume ugly but kina pesa😂😂😂😂

Siku ukiwa na pesa utaelewa vile nasema.

Mwanamke akikubali kisa pesa ujue sio yeye aliyekukubali Ila shida na matatizo yake ndio yamekukubali ili yaishe, subiri yakiisha ndio utaelewa wanawake hawahitaji Pesa.
 
Sikatai. Ila huyu mwenzetu hapati mwanamke yoyote yaani na akipata mara moja wanadisapper.
Anataka kujua tatizo ni nini
Huyu anakataliwa hadi na malaya. Sii balaa....kalogwa huyu
 
Siku ukiwa na pesa utaelewa vile nasema.

Mwanamke akikubali kisa pesa ujue sio yeye aliyekukubali Ila shida na matatizo yake ndio yamekukubali ili yaishe, subiri yakiisha ndio utaelewa wanawake hawahitaji Pesa.
Mhm sasa shida za mwanadamu zinaishaga wewe... Wanawake wenyewe walivyojaa tamaa🤣🤣🤣🤣🤣
 
Asee kweli tunatofautiana hapa Mimi naangalia namna gani niipunguze wanwake nibaki nao hata 2 tu.
Juzi kati nimepiga chini 2 ,siku 2 mbele nimisha chukua namba za warembo 2 yani nahamisha maji ziwani naweka mtoni.
 
Sasa mtoa mada anazungumzia kupendwa sio kutamaniwa.

Pesa huvuta Wanawake wakutamani na sio wakupende.
Tofautisha hayo mambo mawili
Wee wai mwanamke umeambia anapenda? Mwanamke anachotakiwankufanya ni kuheshimu tuu. Kupenda tunapenda sie wanaume.
 
Sasa mtoa mada anazungumzia kupendwa sio kutamaniwa.

Pesa huvuta Wanawake wakutamani na sio wakupende.
Tofautisha hayo mambo mawili
Wee wai mwanamke umeambia anapenda? Mwanamke anachotakiwankufanya ni kuheshimu tuu. Kupenda tunapenda sie wanaume.

Mwanamke sio kwamba hapendi, anapenda Ila hahesabiki kuwa anapenda Kwa sababu yeye ni mpoekaji na sio mtoaji.
Upendo upo kwenye kutoa zaidi kuliko kupokea.

Kihisia anapenda
Ila kisheria hapaswi kupenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…