ChescoMatunda
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,232
- 444
Imezoeleka kuwa wamama na wadada wengi hugombana wenyewe kwaajili ya mume / mwanaume. lakini Leo mpaka naandika kisa hiki Kuna jirani yangu (fundi) sio jina halisi alikuwa na small house bila mkewe kujua,
sasa small house ina mtoto na jamaa alikuwa kapunguza matunzo, kwahiyo mdada kabeba mtoto mpaka hapo nyumbani kwa fundi, kafika kamkuta mkewe fundi kajieleza yooote A to Z mkewe fundi kaita mjumbe bila fujo wala ugomvi kamjulisha ugeni na uamuzi aliouchukua ni kumzuia mgeni anamsubiri mumewe amfumanishe hapo hapo😕😕 hapo ndipo kisanga kilipo na fundi alikuwa anaheshimika mtu swala5 najiuliza nimsaidiaje hapo jirani yangu maana, watu wamejaa wanasubiri kitachojiri,, uswazi hakuna dogo?!! Lol
sasa small house ina mtoto na jamaa alikuwa kapunguza matunzo, kwahiyo mdada kabeba mtoto mpaka hapo nyumbani kwa fundi, kafika kamkuta mkewe fundi kajieleza yooote A to Z mkewe fundi kaita mjumbe bila fujo wala ugomvi kamjulisha ugeni na uamuzi aliouchukua ni kumzuia mgeni anamsubiri mumewe amfumanishe hapo hapo😕😕 hapo ndipo kisanga kilipo na fundi alikuwa anaheshimika mtu swala5 najiuliza nimsaidiaje hapo jirani yangu maana, watu wamejaa wanasubiri kitachojiri,, uswazi hakuna dogo?!! Lol