Sidhani!Ukiona mwanaume wa hovyo jua mwanamke ndo wa hovyo zaidi!
yote hayo mnasababisha nyie nyie wanawake fake,ndio maana tunaenda kutafuta tulizo huko!!!
Haya usemayo ni kweli,lakini faham kuwa comvincing power ya mwanamke ni kubwa sana kama atataka mabadiliko katika mahusiano/ndoa yake!
Michelle,achana na tofauti za akili,pia hapa sizungumzii excuse ya kufanya kosa na kumsukumia lawama shetani,nazungumzia nguvu ya kimaumbile aliyonayo mwanamke kwa mumewe anapotaka jambo fulani litokee,mf,Adamu na Samsoni!Nguvu hii Mungu alimwekea mwanamke kwa malengo chanya ya kumsaidia kumsaidia mwanaume kufanikiwa,kumfariji pamoja na kumpa pumziko,haya kwa wanawake wa leo hayapo!Ni vurugu kila kukicha na pilika za hovyo coz wamekua wa hovyo sana!
Ni vurugu kila kukicha na pilika za hovyo coz wamekua wa hovyo sana!
Kama niliemsema kwenye thread ni mwanamke,mwanaume anakua hajali majukumu yake!Huo ndo uhovyo!
Sidhani!Ukiona mwanaume wa hovyo jua mwanamke ndo wa hovyo zaidi!
Hivi duniani humu kuna binadamu aliyekamilika,can you, for that matter any person,find a soul partner who will PERFECTLY fit the bill? Bishanga wonders!Tatizo sio mtu kujua kama ana nguvu au la ni mtu kuwa na malengo au kutokua nayo. . . kua na fikra za kujiendeleza na kuendeleza familia au la. Hata asie na hayo bado anatumia unamke wake kuchezea vijisenti vya mume na kumnyamazisha asilalamike/kumfanya asiache kutoa hizo pesa na kadhalika. Kwahiyo wote wanatumia hiyo nguvu. . .kinachotofautiana ni matumizi.
Ndio maana bado ntasema kosa linaanzia kwa wanaume wanaingia ndoani na wanawake ambao hawana malengo wala fikra za kujijenga kwa faida ya baadae ilhali sio aina ya mwanamke wanaetaka kuishi nae milele milele. ACheni kudanganywa na hayo mawigi mnauolipia na muanze kuangalia mambo ya msingi. Ndio maana wengine tunachagua mpaka tunaonekana tumezidi. . yote hiyo ni ili kupata mtu wa aina ile tunayohitaji na sio anaevutia machoni tu. Hamtokula sura wala maumbo kwahiyo huo usiwe msingi wa yale mnayotumia kuchagua mke.
Kama mngekua na akili ya kutulia na wake/girlfriend zenu bila kutafuta wanawake wa nje basi mngepata muda wa kugundua huwa tunawajali na hio fakeness mnatengenezeana nyie wenyewe wakati wa uchumba mpaka ndoa infact huwezi ku generalize basing on sample ulizokutana nazo wewe au few examples ulizoona. Daaah!
.Inafahamika kuwa linapokuja suala la uimara na ubovu wa ndoa,kufu au kudumu kwa ndoa wanawake mara nyingi ndo wanakua na nguvu sana,sisi wanaume hapa hatuna ubavu
ALAA??Kwanini hamna ubavu wakati nyie ndio viongozi wa familia? Hujui kuwa kiongozi ni kama nahodha.Kama hajui kuendesha chombo si lazima kizame? Utamlaumu abiria aliyeketi kiti cha mbele na nahodha?
Hivyo basi mwanamke akiwa fake/mjinga nk, na ndoa au mahusiano huwa hivyohivyo.
Toka lini mkalijua hili? Ni ufahamu mpya?Kwanini uchague mwanamke mjinga mjinga wa hovyo kuwa mkeo?
Ehee...ulifanya utafiti wapi? Hao wengi ni aslimia ngapi ya idadi gani?Siku hizi wanawake wengi ni hovyo
ndo maana na mahusiano/ndoa nazo ni za hovyo,siku hizi wanawake hawataki majukum ya kike,wanajua ndoa ni kuzaa na kuwatupia watoto ma HG.Hawajui namna ya kumhudumia mume,huduma wanayoijua wao ni ngono tu,hawawezi hata kumshauri mume namna ya kubajeti matumizi ili angalau wapate ka jumba hata ka vyumba viwili,wao wanajua kubana hela ili wakanunue mawigi,skin jeans,vimin nk,kama ni mfanyakazi mshahara unaishia hukohuko na machinga watajazana nyumbani kwako kukudai hela ya rangi za kucha,khanga na upuuzi mwingi tu!Hawa ndo wanawake watakaotusaidia kusonga mbele kimaendeleo kweli?
Pole sana aiseee..yalikufika ehh? Chagua vema, usikurupuke.
Kazi mnayo si kidogo!Ama kweli kwa mtindo huu ndoa nyingi zitakua za hovyo ka sababu ya uhovyo wa wanawake wa leo.WANAUME kazi tunayo!
Lakini Amyner,siku hizi,has mijini mi naona mshiko umepewa kipaumbele sana na wanawake wanasema openly kuwa......'mwanamke haongi anahongwa bana'.....yaani hat a ndani ya ndoa nyingi haka ka element kapo ban a.