Wanawake fake!!....

Nyie wanaume acheni fikra zenu potofu wanawake Fake?Je wanaume Fake nao tusemeje.
Ndoa nyingi zinavunjika siku hizi kwa kukosa maadili si kwa kijana wa kiume na vivyo hivyo kijana wa kike.

Tunajitahidi sana kuwavumilia na maulevi yenu nyumba ndogo uchafu na kila aina ya uozo.lakini hamna lolote zaidi ya kuishia kutunyanyasa hovyo.I khali wote tunatoa michango katika Familia.

Hapo hapo akina mama siku hizi ndo tumekuwa waangalizi wa familia Kuanzia Chakula mavazi na School fees.Maana pesa zenu zinaishia kwenye hizo starehee zenu.Na kurudi usiku wa manane

Tena naawambia wanawake mwenzangu mulio kwenye ndoa jipodoee kadri ya uwezo wako vaa kadri uwezavyo na Beer kunywa kama munywaji ukiendekeza hawa viumbe utachakaa kuliko bibi yako alie kijijini.
 
Inafahamika kuwa linapokuja suala la uimara na ubovu wa ndoa,kufu au kudumu kwa ndoa wanawake mara nyingi ndo wanakua na nguvu sana,sisi wanaume hapa hatuna ubavu.Hivyo basi mwanamke akiwa fake/mjinga nk, na ndoa au mahusiano huwa hivyohivyo.Siku hizi wanawake wengi ni hovyo ndo maana na mahusiano/ndoa nazo ni za hovyo,siku hizi wanawake hawataki majukum ya kike,wanajua ndoa ni kuzaa na kuwatupia watoto ma HG.Hawajui namna ya kumhudumia mume,huduma wanayoijua wao ni ngono tu,hawawezi hata kumshauri mume namna ya kubajeti matumizi ili angalau wapate ka jumba hata ka vyumba viwili,wao wanajua kubana hela ili wakanunue mawigi,skin jeans,vimin nk,kama ni mfanyakazi mshahara unaishia hukohuko na machinga watajazana nyumbani kwako kukudai hela ya rangi za kucha,khanga na upuuzi mwingi tu!Hawa ndo wanawake watakaotusaidia kusonga mbele kimaendeleo kweli?Ama kweli kwa mtindo huu ndoa nyingi zitakua za hovyo ka sababu ya uhovyo wa wanawake wa leo.WANAUME kazi tunayo!


Ndugu,

Umesahu kwamba siku hizi wanawake wanapanga foleni 'kusuguliwa miguu'
 
Inafahamika kuwa linapokuja suala la uimara na ubovu wa ndoa,kufu au kudumu kwa ndoa wanawake mara nyingi ndo wanakua na nguvu sana,sisi wanaume hapa hatuna ubavu.Hivyo basi mwanamke akiwa fake/mjinga nk, na ndoa au mahusiano huwa hivyohivyo.Siku hizi wanawake wengi ni hovyo ndo maana na mahusiano/ndoa nazo ni za hovyo,siku hizi wanawake hawataki majukum ya kike,wanajua ndoa ni kuzaa na kuwatupia watoto ma HG.Hawajui namna ya kumhudumia mume,huduma wanayoijua wao ni ngono tu,hawawezi hata kumshauri mume namna ya kubajeti matumizi ili angalau wapate ka jumba hata ka vyumba viwili,wao wanajua kubana hela ili wakanunue mawigi,skin jeans,vimin nk,kama ni mfanyakazi mshahara unaishia hukohuko na machinga watajazana nyumbani kwako kukudai hela ya rangi za kucha,khanga na upuuzi mwingi tu!Hawa ndo wanawake watakaotusaidia kusonga mbele kimaendeleo kweli?Ama kweli kwa mtindo huu ndoa nyingi zitakua za hovyo ka sababu ya uhovyo wa wanawake wa leo.WANAUME kazi tunayo!

Nadhani umekuwa too general Mkuu, wapo wanawake makini tena wengi tu. Pia umesahau kuwa mwanaume ndio kichwa cha familia, nadhani mwanaume asipokuwa hovyo, mkewe pia hatokuwa hovyo!Ukiona mwanamke yuko hovyo ujue na mumewe pia. Kwa maana hiyo, two hovyo hovyo parents/couples makes a very hovyo hovyo family.
 
Tulia, usiongozwe na fikra ama kudhani.....andika facts! Je, haiwezekani kwa mwanaume peke yake kuwa hovyo ilhali mkewe asiwe hovyo? Kwa nini?

Haiwezekani,kutokana na mfumo wa malezi ulivyo!
 
Walimu weusi,umejibu jibu jepesi kwa swali gumu,inaonekana watu wengi hawajui mfumo wa malezi na nguvu za kimaumbile walizonazo wanawake kwenye baadhi ya mambo!
 
Tausi,niliposema hatuna ubavu ni kwamba,hata kwenye kampuni yoyote GM kuna maeneo hana ubavu nayo,inatakiwa apate maelekezo kutoka kwa wataalam wake japokua yeye ni GM,so Mungu alipogawa majukumu hakumpa mwanaume kila jambo ila yeye ni msimamizi wa jumla tu,lakini kama ilivyo kwa GM anavyohitaji sapot na ushauri kutoka kwa walio chini yake ili kupata maendeleo,vivyo hivyo kwa mume pia!Kuhusu risach uliyouliza siokila jambo linahitaji kufanya utafiti mambo yako wazi kabisa,fungua macho utaona.Pia sikuchagua wa hovyo ila nimewakilisha matatizo ya wanaume wenzangu,jitahidi kusoma ili uelewe vyema!

OMG! kwenye bold kama haya ndiyo mawazo yako kuhusu uongozi, sina cha kuongezea.Inaelezea kwanini nchi hii itaendelea kuwa mkia kila siku.Kumbe ukiwa kiongozi huna say yoyote, unapokea maelekezo kutoka kwa wataalamu wako!?
Nitaomba michango ya wengine kwenye hili maana nimeishiwa nguvu kabisa.
 
Dada mbano,punguza hasira,uliyozungumza ni matokeo ya kuwa na mke wa hovyo,narudia tena mwanamke anaejua majukumu yake na nguvu aliyonayo kwenye ushawishi kwa mumewe,anaweza kuitumia kumfanya mume asifaye hayo uliyosema labda uwe hujui!
 
Tausi,maneno uliyosema ni kweli kabisa,maendeleo ya nchi yetu ni ya hovyo,tofauti ni namna wewe unavyoliona tatizo,unapokua GM haina maana unajua kila kitu dada yangu,leo tuna mgao wa umeme kwa sababu wakubwa hawakusikiliza ushauri wa wataalam,ukubwa sio ujuzi Tausi!
 
mke mwema huijenga nyumba yake bali mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe - biblia takatifu
 
Canta,sijawahi kuoa,ila nimewahi kuwa kwenye mahusiano na mwanamke wa hovyo!Hebu niache mimi na uangalie wengine,inamaana kati ya wanawake smart na wa hovyo ni kundi gani ni wengi?
 
Inafahamika kuwa linapokuja suala la uimara na ubovu wa ndoa,kufu au kudumu kwa ndoa wanawake mara nyingi ndo wanakua na nguvu sana,sisi wanaume hapa hatuna ubavu.Hivyo basi mwanamke akiwa fake/mjinga nk, na ndoa au mahusiano huwa hivyohivyo.Siku hizi wanawake wengi ni hovyo ndo maana na mahusiano/ndoa nazo ni za hovyo,siku hizi wanawake hawataki majukum ya kike,wanajua ndoa ni kuzaa na kuwatupia watoto ma HG.Hawajui namna ya kumhudumia mume,huduma wanayoijua wao ni ngono tu,hawawezi hata kumshauri mume namna ya kubajeti matumizi ili angalau wapate ka jumba hata ka vyumba viwili,wao wanajua kubana hela ili wakanunue mawigi,skin jeans,vimin nk,kama ni mfanyakazi mshahara unaishia hukohuko na machinga watajazana nyumbani kwako kukudai hela ya rangi za kucha,khanga na upuuzi mwingi tu!Hawa ndo wanawake watakaotusaidia kusonga mbele kimaendeleo kweli?Ama kweli kwa mtindo huu ndoa nyingi zitakua za hovyo ka sababu ya uhovyo wa wanawake wa leo.WANAUME kazi tunayo!


Ungekuwa mume wangu leo leo ningekupa talaka, mwanaume gani unalialia mke akutunzie ndoa?

Make your own wife, daaadeki!
 
Duh!Tatizo
Lizzy wanawake wengi ni fake,wanafake mpaka tabia,kwenye uchumba
anajidai anajua sana malengo,kumbe hovyo!Halafu kumbuka kuwa mwanaume
anapochoka mara nyingi anatakiwa atulizwe na apewe maneno ya
kumrejeshea nguvu,haijalishi mwanamke yuko vipi,tatizo linakuja pale
atakapopewa nyoka wakati yeye aliomba samaki!
Mnataka kupewa tu! Na nyie mnatoa nini? Love n care is a two way traffic.
 
Freema,kweli kabisa umesoma na ukaelewa ninazungumzia kusaidiwa kulea familia?Kama ni kweli una matatizo ya uelewa!
 
kama ulianza kumhonga kwenye uchumba kwanini usimhonge kwenye ndoa? Au ndio yale yale mwanamke akishaolewa basi mambo yanahamia kwa mahawara wa nje?
Mkijengeana utaratibu wa ku balance maisha interms of benefits and expenses tangu mwanzo automatically itawezekana kusaidiana katika mambo tofauti.

maybe just may be maana uzoefu umenifundisha otherwise.
 
Back
Top Bottom