ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 15,602
- 59,304
Ooooh sawaMwanamke mdangaji, kahaba, ombaomba au girlfriend anayachukulia mahusiano ya kimapenzi au sex kama njia ya kupata pesa kutoka kwa mwanaume.
Ahsante
Ooooh sawaMwanamke mdangaji, kahaba, ombaomba au girlfriend anayachukulia mahusiano ya kimapenzi au sex kama njia ya kupata pesa kutoka kwa mwanaume.
Aisee.!Aslimia 70 ya wanawake kama Dar ni umalaya tu
Sema wewe dada unanipenda sana ., haujawahi kukosekana kwenye post yangu, njoo pm tuyajenge, kuna kimchongo nimekiotea nina vihela hela kidogo siku hiziUkikosa cha kuandika...utaaacha..huwezi kuwa unaongelea jambo hilo hilo kila siku kama mwendawazimu
.
Ndo maana Huna kazi ..masikini wewe Natafuta Ajira