jaffari yogo
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 685
- 148
Wanawake ni kama ndege wakiwa juu ya tawi huimba vizuri sana, lakini ni hatari sana kuwa na urafiki nao!. Sababu ni kuwa wakiona tawi lingine jipya na zuri machoni mwao, huruka na kukuacha mpweke. Kuwa mwangalifu wanapokufurahisha kwa maneno na ahadi zao. Usiendelee kupoteza mda wako kung'ang'ania mfupa uliomshinda fisi. Pengine hilo sio fungu lako, usiumie wala kulia kwani thamani ya machozi yako haifanani na thamani ya KANGA/KITENGE ujifutiayo machozi. Songa mbele na ujue kuwa atoae ni Mungu.