Wanawake badilikeni, mtaisha

Sikujua kama ana tabia hiyo before, nadhan alificha tabia hiyo kabla ya ndoa
Kama ni hivyo ndugu kiri tu kwamba ulizuzuka na huo uliouita "urembo" wake. Binadamu hata aigize utakatifu kiasi gani kama ni mtu mwenye hila kuna viashara vya uovu wake vitatoa picha halisi ya utu wake wa ndani. Chukulia mfano akiwa na wewe labda akamtukana x wake kwa vyovyote vile akitaka wewe ujione mwenye thamani zaidi kwake,papo hapo kwa mtu sensitive lazima uanze kutia zako maji au uamue kujitenga mbali kabisa na hiyo "saluni" kabla hunyanyolewa wewe ikiwa unaona kabisa kwamba nafsi yako haitaweza kuvumilia kutukanwa.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Na hiki ndicho nilichokiandika huko juu..hakuna haja ya kutupiga wala.
 
Kama sikumsilikiliza kaka yangu mkubwa itakuwa wa upande wake..in life kuna njia mbili za kujifunza .easy way na hard way..na kwa kuwa sina mkono wa kupiga..nikamfundisha kwa njia hiyo ya pili...wewe telemka tu..sipendi kelele nilishasema.
Nilishawahi adhibiwa namna hii ingawa ya kwako imezidi aiseh 😁😁since then nikasema nikitaka kumpa mtu adhabu nikumlia bati tu
 
Hivi ujue pia kama unampelekea moto wa maana na ugomvi hautakuwepo milele, ugomvi wa kike mara nyingi ni kukosa kukojoleshwa basi, hata kama huna hela atauza hata vitumbua ili asikukose
 
Hivi ujue pia kama unampelekea moto wa maana na ugomvi hautakuwepo milele, ugomvi wa kike mara nyingi ni kukosa kukojoleshwa basi, hata kama huna hela atauza hata vitumbua ili asikukose
Hakika
 
Haya ndio madhara ya kuwa one woman man. Mwanaume unatakiwa uwe na pisi tatu wote watashika ada u hakuna madharau tena hapo.
 
Kama haijawahi kukukuta usiseme ni uongo.
Kukaliana kimya tunakaliana kimya sana na wapenzi wetu, ukiangalia story yake ni kama vile jamaa hana huruma hata chembe, angekua na moyo wa namna hiyo wala asingefikia hatu ya kumuacha mke wake amelala nje na alikua anaomba msamaha, sana sana angeshamfukuza, sikatai watu wanakaliana kimya, ila sio katika mazingira ambayo mmoja anaomba msamaha, ni pale tu viburi vinapokua vimeshika hatamu, I am a man and I know what it feels kuombwa msamaha, tena kosa lenyewe kuambiwa anakichepuko?😂😂 Nasisitiza ni uongoooo
 
Haiwezekani kaambiwa siku hiyo tu akatoa liadhabu lote hilo Chief..inawezekana ni maneno ya muda mrefu
 
Alaf wapo wengi kinoma sijui iyo jeuri inatoka wapi,
 
Mkuu..kwanza wewe sio mimi..kina mahalai umekiri na wewe kuchukua uamzi mgumu..huyu ninaishi nae mimi sio wewe ...nimekupa kisa cha siku kilichopelekea kuchukua uamzi huo .lkn kuba mlolongo wa makosa makubwa aliyofanya kabla na nikapuuza..
Sasa unadhan hapa nidanganye kwa faida ya nani...mimi sio wewe..narudia..miki sio wewe..man up
 
Siku nyingine usifikiri hisia zako ndizo walizonazo wengine...na kwa kifupi chief tangu siku hiyo amekuwa mtii na mwenye adabu .kama huwajui hawa watu huwa na tabia ya kuweka beacon kukifanya weww mwanaume utembeee kwenye sheria zake..na wengi hujaribu kutengeneza taasisi zao ndan ya familia na mume kutokuwa na sauti .sasa mwanaume ukishawekwa kati umekwisha...fatilia kwa wanaume ambao huwa wabafanya kaz mbali na zilipo familia zako..wanakuja wiki moja au mwez kisha wanapotea mwaka kazin..halafu huyo mwanaume astaafu arudi kukaa home asubuhi had jion....akimaliza miaka 5 ni bahati sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…