Wanawake acheni tabia za kuwageuza Wanaume ATM!

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Oct 18, 2010
56,278
92,339
Kuna baadhi ya wasichana wengine ukiwa naye kwenye daladala yeye ana sh10,000, mwanaume ana sh2000, bado atataka mwanaume ndio alipe nauli.Sijui kosa ni kwanini umemtongoza!!, huwa sielewi.
Kuna wasichana akiwa na mwanaume anamgeuza mtaji, shida zake zote zitakwisha kwa huyo mwanaume, tena wakati mwingine kwa kulazimisha. Mizinga kwa kila kitu. ( kademu ka mizinga ).

Eeeh kama uko naye kuanzia chakula, maji, soda na kadhalika, yeye ni mtu wa kula tu, tena wengine wanaweza kukujia hadi na marafiki zake, akukomoe vizuri kwanini umekubali kumpenda. Anakuingiza gharama, wengine unakuta eti hawanywi vinywaji vya bei rahisi.
Haya ni maisha ya kipuuzi ambayo ni lazima watu waondokane nayo, maana ya mapenzi ni kusaidiana na kufanyiana mambo ambayo wewe ukifanyiwa utajihisi raha, sio kufanyiana mambo ya kukomoana. Kununuliwa kila kitu ni aibu, kuna wengine wanafanya kazi, lakini fedha zao ni zao na zile za wanaume wao nazo wanataka ziwe zao. Huu ni wizi wa waziwazi.

Kuna mwingine anajenga fikra kabisa kwamba baada ya ku do utampatia pesa! hivi huwa najiuliza kwenye kale kamchezo ka baba na mama mwanamke si ndio anasikia raha zaidi ya mwanaume? sasa unapotegemea mimi ndio nikupe pesa unaniuzia nini hapa?

 
50/50 ya Beijing muipractice kwa vitendo, na sio porojo tu za kutaka usawa ndani ya nyumba lakini kwenye kushare cost mnaskip.
<br />
<br />
hivi mnajua huwa mnajilengesha wenyewe ndio maana mnachunwa.
 
Kuna baadhi ya wasichana wengine ukiwa naye kwenye daladala yeye ana sh10,000, mwanaume ana sh2000, bado atataka mwanaume ndio alipe nauli.Sijui kosa ni kwanini umemtongoza!!, huwa sielewi. <br />
Kuna wasichana akiwa na mwanaume anamgeuza mtaji, shida zake zote zitakwisha kwa huyo mwanaume, tena wakati mwingine kwa kulazimisha. Mizinga kwa kila kitu. ( kademu ka mizinga ).<br />
<br />
Eeeh kama uko naye kuanzia chakula, maji, soda na kadhalika, yeye ni mtu wa kula tu, tena wengine wanaweza kukujia hadi na marafiki zake, akukomoe vizuri kwanini umekubali kumpenda. Anakuingiza gharama, wengine unakuta eti hawanywi vinywaji vya bei rahisi. <br />
Haya ni maisha ya kipuuzi ambayo ni lazima watu waondokane nayo, maana ya mapenzi ni kusaidiana na kufanyiana mambo ambayo wewe ukifanyiwa utajihisi raha, sio kufanyiana mambo ya kukomoana. Kununuliwa kila kitu ni aibu, kuna wengine wanafanya kazi, lakini fedha zao ni zao na zile za wanaume wao nazo wanataka ziwe zao. <b>Huu ni wizi wa waziwazi.<br />
<br />
Kuna mwingine anajenga fikra kabisa kwamba baada ya ku do utampatia pesa! hivi huwa najiuliza kwenye kale kamchezo ka baba na mama mwanamke si ndio anasikia raha zaidi ya mwanaume? sasa unapotegemea mimi ndio nikupe pesa unaniuzia nini hapa?<br />
<br />
</b>
<br />
<br />
mAPENZI YANANGUVU KUSHINDA BREAKDOWN.
 
wanawake wapo wa makundi tofauti

kundi la wachunaji lipo....

mimi huwa wananifurahisha wale ambao baada tu ya kubadilishana namba za simu
unapokea ujumbe,please recharge me...lol
huwa nacheka hadi basi....
 
Katika mahusiano ni vizuri saana mwanaume ukawa in Control kuliko mwanamke... Sina maana yeye ndo awe kila kitu, ila nina maana kua aweze kumdhibiti mwanamke wake physically na hata materially (thou sio lazima iwe level ya juu saaana au one sided)... Hivo... Mimi ninavoelewa ni kua mwanaume mwerevu hutongoza mwanamke wa level yake... na pia mwanamke wa aina ambayo anapenda...

Nikisema Level yake...

Nina maana kua kama unajua uwezo wako ni mdogo... usipende kupenda wanawake ambae anaonekana kabisa up keep yake ni expensive.... Alafu hapo hapo ni spender... Mwanamke ambae vijiwe vyake vyooote ni gharama.... Mwanamke ambae ana kundi lake la wadada ambao ukiwaona tu unajua kua ndio wana Run mahala hapa walipo, kwamba wao ndio centre of attention... (For hawa wadada katika hili kundi ni la wakaka wenye mpunga mrefu na wakitoa pesa zao, inakua haipunguzi kitu) Unapojitutumua wewe wa Uwezo wa chini lazima u-suffer the consequences...

Nikisema aina unayo penda....

Nina maana mienendo ya huyo mwanamke... mahala mwanamke hutoka... Jinsi anavoishi... Uwezo wake (kama ana kazi ama lah!) vyoote huchangia utegemezi... Pia huchangiwa na ile hali ya toka mahusiano yenu, jinsi gani umemzowesha... kama siku zoote you offer to pay for everything (ambayo kwa kweli ni wajibu wako in most cases) lazima atabweteka... Na mara nyingi hii ya mwanamke kulipa - inatokana tu na busara zake za kuelewa hata wewe once in a while you need a Break! asipoelewa hilo... Siku zoote utaishia kunung'nika tu rohoni kwako... Alafu siku zingine haya mambo ni vizuri kuongea na Mwenza wako... Kua Free... Kuna ubaya gani wa Kumwambi Mpenzi naomba lipa wewe for leo nimebanwa (ila tu usizoee...)

Wale ambao wata sema LOVE ndo mhimu hayo mengine sio muhimu... Well... Mwanzoni Yes... Lakini stress lazima zifuate badae....
 
Pole. Ipo siku utampata wa kukulipia nawe utatulia kutoa.
 
wanawake wapo wa makundi tofauti

kundi la wachunaji lipo....

mimi huwa wananifurahisha wale ambao baada tu ya kubadilishana namba za simu
unapokea ujumbe,please recharge me...lol
huwa nacheka hadi basi....

Halafu ukimrecharge ataishia kukubipu tu hata msg ataona tabu kukujibu...
 
wanawake wapo wa makundi tofauti<br />
<br />
kundi la wachunaji lipo....<br />
<br />
mimi huwa wananifurahisha wale ambao baada tu ya kubadilishana namba za simu<br />
unapokea ujumbe,please recharge me...lol<br />
huwa nacheka hadi basi....
<br />
<br />
kuna wanaume mnafurahisha. Hata hatujawaomba pesa mnatutumia. Kweli kuna wanaume wanapenda uATM.
 
Back
Top Bottom