Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,110
- 158,964
Hebu rudi kwanza hapa, hatujamalizana.Hapa itabidi nighairi tu anasifiwa mwingine miye niwe wa kuhonga kweli!
La kuku halimpati mwewe.
Hebu rudi kwanza hapa, hatujamalizana.Hapa itabidi nighairi tu anasifiwa mwingine miye niwe wa kuhonga kweli!
La kuku halimpati mwewe.
Wamekusikia mkuu
Wuuhuuuuu umeona sasa sababu nakumisigi.... Sababu huwa unakumbuka ahadi zako hata ipite miaka.
Muda na nafasi niko nayo ukitaka ntakuazima yangu, yaani kuanzia leo naanza kuoga kabisaa na kunyoosha nguo ya siku ya deni eehehehheheee
Hata usingizi hautakuja kusubiria nisijepitwa na siku ya deni aahahahhahaa.
Usiache msalimu Msafiri.
A promise is a promise....i'll fix mine maana nikichukua muda ya kwako itabaki kuwa deni kwangu
Mwanamke ni kiumbe mwenye huruma sana 🤣🤣🤣 aya mpelekee haraka.Ole wako unidanganye, nakuendea kwa babu.
@daby kwahiyo ndio umeghairi?Mwanamke ni kiumbe mwenye huruma sana aya mpelekee haraka.
bila shaka haiusishi kuhongwa tu😃@daby kwahiyo ndio umeghairi?
bila shaka haiusishi kuhongwa tu
safiWala
yaaan acha kabisaaJamaa anakosa mengi huyo..
nashangaa umenitenga...We binadamu ndio nini kunitenga hivyo?
Mi sijakutenga ndugu yangu, dunia ndio inatutenga.nashangaa umenitenga...
ila unajua namna ya kunipata... njoo
70% ya waliowahi kuniambia nimsalimie mke au mpenzi niliwatafuna kirahisiUnampigia simu mwanamke wakati mkiwa mnaongea anakuuliza swali,MKEO MZIMA??mara msalimie mpenzi wako??huku anafahamu kuwa bado haujaoa,mitego mingeni sio kabisa.
Mwingine anakukaribisha kwake alipo panga wakati anajua kabisa kuwa unaemkuaribisha ni kijana hafu yeye mwenyewe hajaolewa.
Mwingine ni urafiki tu anasema oooh!nmekumisi sana best yangu njoo basi nikuone?
Mwingine Mara nilikuona unafua nguo na unaosha vyombo hipo siku nitakuja nikusaidie wakati huo anajua fika hauna mke.
Mwingine anasema Mara natamani kuolewa wakati anajua kabisa anaeongea nae hana mke .
Wanawake acheni mitego, kama unampenda mwanamme wewe funguka wala hautooneka Malaya kwa wanaume wanaojielewa.
Khaa jamani hivi si mnatakaga sisi tujiongeze sasa na ninyi mnashindwa nini kujiongeza?Unampigia simu mwanamke wakati mkiwa mnaongea anakuuliza swali,MKEO MZIMA??mara msalimie mpenzi wako??huku anafahamu kuwa bado haujaoa,mitego mingeni sio kabisa.
Mwingine anakukaribisha kwake alipo panga wakati anajua kabisa kuwa unaemkuaribisha ni kijana hafu yeye mwenyewe hajaolewa.
Mwingine ni urafiki tu anasema oooh!nmekumisi sana best yangu njoo basi nikuone?
Mwingine Mara nilikuona unafua nguo na unaosha vyombo hipo siku nitakuja nikusaidie wakati huo anajua fika hauna mke.
Mwingine anasema Mara natamani kuolewa wakati anajua kabisa anaeongea nae hana mke .
Wanawake acheni mitego, kama unampenda mwanamme wewe funguka wala hautooneka Malaya kwa wanaume wanaojielewa.