Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,765
- 126,676
Anafaaa kweli changamkia fursah!Ili nijue kama anafaa kwa matumizi ya kibinadamu.
Duuh pole kaka watakuwa wamekufungia wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi ule mpaka wa udada na ukaka tuliuvuka lini?
Khaaaaah!!Niliona tuunganishe nchi tu...vinchi vyenyewe vidogo vidogo hivi mipaka ya nini?
Hivyo nilete posa haya mafurushi ya humu yapotezee tu.
Mpka kaleta hii mada basi anafaa
Upo ubinamu sasa....
Hiyo ni identity ya Kiafrika yaani ule weusi wa masizi au wese/oil chafu[emoji23][emoji23]Duuh pole kaka watakuwa wamekufungia wewe.
Badilisha mwandiko watakufungulia mwandiko wako mweusi saana.
Mambo.Na wewe kwanini hutegeki?
Hapo ndipo unapokwama aseeh...Hiyo ni identity ya Kiafrika yaani ule weusi wa masizi ua wese/oil chafu[emoji23][emoji23]
Kwa bwana YesuMambo.
Hivi haujapona huu ugonjwa kumbe!Nipe hela ndio takubembeleza.
Kumtaja bwana yesu kwenye uzi kama huu ni kumkosea heshima.Kwa bwana Yesu
Harafu mbona umenikasirikia sana mama kosa langu nini?Kwa bwana Yesu
Nimekuacha na michepuko yako😎😎Harafu mbona umenikasirikia sana mama kosa langu nini?
Kwahiyo unamaanishaje eti