pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 518
- 815
Unampigia simu mwanamke wakati mkiwa mnaongea anakuuliza swali,MKEO MZIMA??mara msalimie mpenzi wako??huku anafahamu kuwa bado haujaoa,mitego mingeni sio kabisa.
Mwingine anakukaribisha kwake alipo panga wakati anajua kabisa kuwa unaemkuaribisha ni kijana hafu yeye mwenyewe hajaolewa.
Mwingine ni urafiki tu anasema oooh!nmekumisi sana best yangu njoo basi nikuone?
Mwingine Mara nilikuona unafua nguo na unaosha vyombo hipo siku nitakuja nikusaidie wakati huo anajua fika hauna mke.
Mwingine anasema Mara natamani kuolewa wakati anajua kabisa anaeongea nae hana mke .
Wanawake acheni mitego, kama unampenda mwanamme wewe funguka wala hautooneka Malaya kwa wanaume wanaojielewa.
Mwingine anakukaribisha kwake alipo panga wakati anajua kabisa kuwa unaemkuaribisha ni kijana hafu yeye mwenyewe hajaolewa.
Mwingine ni urafiki tu anasema oooh!nmekumisi sana best yangu njoo basi nikuone?
Mwingine Mara nilikuona unafua nguo na unaosha vyombo hipo siku nitakuja nikusaidie wakati huo anajua fika hauna mke.
Mwingine anasema Mara natamani kuolewa wakati anajua kabisa anaeongea nae hana mke .
Wanawake acheni mitego, kama unampenda mwanamme wewe funguka wala hautooneka Malaya kwa wanaume wanaojielewa.