Wanawake acheni mitego hii.

Wanawake acheni mitego hii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kasie yo nuts, nimecheka kama chizi hadi watu wananishangaa. Haswa hapo ulipomalizia.


Sitanii ujue kweli tabs tuache masihara, EMT ni habari ingine.

Hehehheheheee mwambie Daby asihofu, fimbo ya mbali haiui nyoka yeye yuko karibu hapa anapata vingi zaidi.
 
Unampigia simu mwanamke wakati mkiwa mnaongea anakuuliza swali,MKEO MZIMA??mara msalimie mpenzi wako??huku anafahamu kuwa bado haujaoa,mitego mingeni sio kabisa.

Mwingine anakukaribisha kwake alipo panga wakati anajua kabisa kuwa unaemkuaribisha ni kijana hafu yeye mwenyewe hajaolewa.

Mwingine ni urafiki tu anasema oooh!nmekumisi sana best yangu njoo basi nikuone?

Mwingine Mara nilikuona unafua nguo na unaosha vyombo hipo siku nitakuja nikusaidie wakati huo anajua fika hauna mke.

Mwingine anasema Mara natamani kuolewa wakati anajua kabisa anaeongea nae hana mke .

Wanawake acheni mitego, kama unampenda mwanamme wewe funguka wala hautooneka Malaya kwa wanaume wanaojielewa.
wanakuona haujiongezi wanakuboost boost kidogo akili ishtuke.
 
Lahaula.

Mwanaume hafukuzwi hivyo wala kusimangwa shauri yako muulize Nalendwa mwanaume anabembelezwa kwa massage ukiwa kwa kifuniko cha asali.

Shauriyo.
wengine vifuniko vya asali vinapigwa teke vinarukia nyumba ya jirani
 
Aahahahahhahaaa laigunian Daby baba yeyoo, hivi unajua mshenga wetu Azarel ndo alisababisha tusisibabishe....

Ila usimuulize acha tuu, shida ulishakaa nikuanishie uzi, ungekuta saa hizi una malavu baiti hadi kwenye kucha nini unyayo hehehehehehehe

Usishindwe banaa, unakubalije kushindwa??

Live it Love it.

Matata K.

Siulizi alisababishaje...nachouliza tu siku hizi yupo wapi simwoni.

Live it love it...hivi wewe ndiye uliianzisha hii au mimi!
 
Siulizi alisababishaje...nachouliza tu siku hizi yupo wapi simwoni.

Live it love it...hivi wewe ndiye uliianzisha hii au mimi!


Heeehh.... hata sijui yuko wapi, vile najua na yeye ni baba yeyoo nikajua ni binamu yako hivo unafahamu yuko wapi. Sijamsoma kitambo kwakweli.

Live it Love it muasisi wake ni wewe, nimeuweka hapa kukumbushia enzi na enzi....
 
Kasie bado nina deni lako, natafutia wewe muda na nafasi...

Wuuhuuuuu umeona sasa sababu nakumisigi.... Sababu huwa unakumbuka ahadi zako hata ipite miaka.

Muda na nafasi niko nayo ukitaka ntakuazima yangu, yaani kuanzia leo naanza kuoga kabisaa na kunyoosha nguo ya siku ya deni eehehehheheee

Hata usingizi hautakuja kusubiria nisijepitwa na siku ya deni aahahahhahaa.

Usiache msalimu Msafiri.
 
Back
Top Bottom